Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kunyora = kukojoa au kumwaga makojoo... same way you always do kwa standi za BRT
Pole vyuma vimekaza hadi unashindwa kuandika
f773f5aab61c834c74aacbbf2a544849.jpg
 
Haha sio hivyo tu, Kiingereza chenyewe broken, Kiswahili ndio mavi matupu kilugha pia shida.. Yani wanaelea elea tu..
Hawa jamaa hawajielewi kabisa, we ona hata hapa, wanachanganya changanya lugha wee... na kuvunjia vunjia humo humo, yaani sijui kwanini hawataki kutumia lugha moja ambayo wataimudu vizuri.
 
Hawa jamaa hawajielewi kabisa, we ona hata hapa, wanachanganya changanya lugha wee... na kuvunjia vunjia humo humo, yaani sijui kwanini hawataki kutumia lugha moja ambayo wataimudu vizuri.
Madhara ya utumwa wa fikra huo...njia mbili zilimshinda fisi
 
Hawa jamaa hawajielewi kabisa, we ona hata hapa, wanachanganya changanya lugha wee... na kuvunjia vunjia humo humo, yaani sijui kwanini hawataki kutumia lugha moja ambayo wataimudu vizuri.
Ndo maana ukienda Kenya madem zao hawaishi Kukuganda.. Yani akijua unatok Tz tu shida ..
 
Back
Top Bottom