...wengi walikuwa hawajui timu zinazocheza
So kwenye hiyo bar, mijitu hawajawahi kusikia timu inaitwa Gor Mahia, the only regional club with a continental trophy?? Wao wanajua tu Yanga na Simba!!
...mbona wanacheza kwenye kiwanja kidogo
So hao wadau 'wadau' wako hawakujua kwamba Kenya Kuna uwanja wenye capacity ya 60k?🤣🤣
...wakauliza mbona uwanja mbaya hivi?
Kijana wa Tandale, uwanja mbaya aka makwapa ipo Dar na ilishapigwa ban na CAF kitambo sana. Hao 'wadau' wako are they even aware of this?
Bongolala, your desperation levels have hit the ceiling