Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa sisi hatuiti “dinga” sisi tunaita “ndinga” tukimaamisha gari. Na hilo ni neno limeshapitwa na wakati huku bongo sahii. It’s an archaic word. Watu hawatumii hilo neno no more. 🤣🤣🤣
Watu hawaitumii yet umeitumia tu jana? The word Dinga started in Kenya then spread into Tanzania.
 
Mpumbavu kweli wewe, neno ndinga limetokea kwenye neno karandinga unakuja na hekaya zako hapa za dinga? Hamna influence yoyote Tanzania mpaka tuchukue maneno kutoka kwenu bali ninyi ndio mnachukua maneno kutoka kwetu sababu ya excessive consumption of our artistic contents

View attachment 3259648
Hata hii pia bado ni sheng of two sheng words combined together.

Karao-Polisi
Dinga/Ndinga -Gari

Karandiga= Gari la polisi. Ama Karao pia ni Tanzanian word?
 
Eldoret Affordable housing. 15 buildings and all of them are over 15floors.

May be an image of skyscraper

1741172993043.jpeg
 
Aliekuambia hayo ni maneno mawili ni nani? Na toka lini police akaitwa karaoke?
Utajuaje yet it’s a word that originated from Kenya? Alafu nimesema Karao and not Karaoke, Karao is a sheng’ word for police.

Karandinga is a sheng word that combines two two sheng words which are Karao and Dinga.
 
Back
Top Bottom