Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,234
- 33,453
Ongoing project ndio unasema doesn’t exist? Kisumu will paralyze you kijana.Unaeleza vitu zenye they do not exist 🤣🤣🤣
Ongoing project ndio unasema doesn’t exist? Kisumu will paralyze you kijana.Unaeleza vitu zenye they do not exist 🤣🤣🤣
Wewe ndio contractor sio?Hata 500 units hazijafika!
Watu hawaitumii yet umeitumia tu jana? The word Dinga started in Kenya then spread into Tanzania.Sasa sisi hatuiti “dinga” sisi tunaita “ndinga” tukimaamisha gari. Na hilo ni neno limeshapitwa na wakati huku bongo sahii. It’s an archaic word. Watu hawatumii hilo neno no more. 🤣🤣🤣
Hata hii pia bado ni sheng of two sheng words combined together.Mpumbavu kweli wewe, neno ndinga limetokea kwenye neno karandinga unakuja na hekaya zako hapa za dinga? Hamna influence yoyote Tanzania mpaka tuchukue maneno kutoka kwenu bali ninyi ndio mnachukua maneno kutoka kwetu sababu ya excessive consumption of our artistic contents
View attachment 3259648
Ndinga imetokana na neno karandinga,miaka hiyo jkt wanapita mitaani kukamata watuEnzi za 504😎😎
Si umeweka picha? Au unafikiri ukubwa wa neo hauonekani?Wewe ndio contractor sio?
Haya sawa.Watu hawa it’s II yet umeitumia tu jana? The word Dimba started in Kenya then spread into Tanzania.
Alafu kuna fala atakuja kukuambia ati Probox ndio inauzika Kenya sana. For your information, Probox is not even in top 10.
View: https://x.com/Kalasinga_/status/1896979305076609110
Duuu kinajegwa Nini hapo mbona mnahatarisha maisha ya wakenya?Unasema haziexist we ndio contractor huko. 🤣🤣. Tulia upangweView attachment 3259583
View attachment 3259573
Brand new cars in Tanzania hata zinafika 100 kweli kwa mwaka?Fool the heading reads “Brand new cars“ sasa leta list of used cars!
Aliekuambia hayo ni maneno mawili ni nani? Na toka lini police akaitwa karaoke?Hata hii pia bado ni sheng of two sheng words combined together.
Karao-Polisi
Dinga/Ndinga -Gari
Karandiga= Gari la polisi. Ama Karao pia ni Tanzanian word?
Alafu kuna fala atakuja kukuambia ati Probox ndio inauzika Kenya sana. For your information, Probox is not even in top 10.
View: https://x.com/Kalasinga_/status/1896979305076609110
Isuzu East Africa. Ama ulikuwa unataka ikuwe Yemen Motors Services?source by who??😂😂😂😂
Utajuaje yet it’s a word that originated from Kenya? Alafu nimesema Karao and not Karaoke, Karao is a sheng’ word for police.Aliekuambia hayo ni maneno mawili ni nani? Na toka lini police akaitwa karaoke?