Tell that to your minister that recently opened a branch of KFC with a lot of happiness. You share the events here for 6 consecutive days.Hawa mbuzi wameona KFC hapo Nairobi wanafikiri KFC ni something special kumbe ni kibanda cha chips tu kwa watuvwa chini nchi za watu.
Kama hamkutaka ashinde kwanini mlimpeleka akashindane ?You wanted Raila to Win AUC? Sisi Kama wakenya hatukuwa tunataka ashinde.
beautiful village houses, so what??
🤣🤣🤣 ajabu kweli.Hawa mbuzi wameona KFC hapo Nairobi wanafikiri KFC ni something special kumbe ni kibanda cha chips tu kwa watuvwa chini nchi za watu.
Aawapii mention them! Hii maneno imewaumiza roho sana kuwa na terminus hazina food courts ni noma!Nairobi has 24 branches as of 2023. That’s more than triple ya Dar is slum.
Kwani Ruto siku hizi ni wakenya?Kama hamkutaka ashinde kwanini mlimpeleka akashindane ?
Hizo 6bil ksh mlizo tumia kwenye kampeni ni kwa ajili ya nini?
Anyway sizitaki mbichi hizi kama sungura komwe.
Nenda google ukasearch.Aawapii mention them!
U special wa ku lounch ile KFC ni kwasababu the outlet is within the SGR station. Something you Kenyans can’t relate,there’s no any train station with KFC outlet in the whole of kundu renda republic.Tell that to your minister that recently opened a branch of KFC with a lot of happiness. You share the events here for 6 consecutive days.
Hawa jamaa wanachukiwa Africa nzima🤣
View: https://x.com/MwangiHub/status/1891157020587307204?t=Ur0zft3TfBXEojDq7ek6Vg&s=19
Zimewasaidia nini walala nyumba za mabati wa kibera,mathare,mukuru kwa ruben nna kwa njenga n.k?KFC in Tanzania hazifiki kumi. Nairobi alone has more than 40.
Hamkutaka ashide kwa sababu ya kuisave Africa .pointYou wanted Raila to Win AUC? Sisi Kama wakenya hatukuwa tunataka ashinde.
Sour grapes.That’s how mwenye hawezi afford them can talk. When your minister was opening one Juzi hakujua ni junk?
When you were celebrating KFC kufungua branch pale SGR station hamkujua ni junk?
Show us a village like this Daykio in TZ then …( remember this not even half of the whole development)beautiful village houses, so what??
Uelewa wako ni mdogo sana. Huna uwezo wa kutofautisha agenda ya wanasiasa na wananchi wenyewe, sio kama kwenu. Ile siku utaelewa uniite tujadiliane.Kama mlikuwa hamtaki ashinde kwnn kama nchi msimuwekee vizuizi ili apewe mwingine fursa hiyo kabla? So unamaanisha Kenya nzima hakukuwa na mwenye vigezo isipokuwa Raila? Kwann mlitumia pesa nyingi za wananchi maskini kumnadi mtu ambaye mlijua atashindwa? Nyie watu ni the biggest Fools on the planet earth, inabidi kizazi chenu chote kife waje wakenya wengine wanaojitambua.
Huyo ni mpuuzi kiasi kwamba nilimkataza asini quote tena cz hayuko relevant, ana utoto mwingi ilihali ni mtu mzima, mjinga kama huyo siwezi ku debate naye.Unaonkena a fool au mjinga kulazimisha kuwa Arusha una 20k seats ,wakati unajua hakika ni 30k seats ,plus uko stage ya majukwaa