ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Unaota Talanta kukwama while we are on the third floor already wakati nyinyi mmeshinda kuspchimba foundation ya Arusha 20k seater stadium for a year now. Going by the soeed mnaenda nayo it’s obvious 2027 itafikia before mmalize that stadium.Naam bila shaka serikali yetu imegundua kuwa jirani ni mmbabaishaji ndiyo maana wamekuja haraka na Dodoma stadium ili jirani akikwana talanta ya mchina tunachukuwa mechi zake zitakazo pangwa kupigwa Naipori maake wao kila kitu ni naipori
🤣🤣🤣 umekariri.? 👇🏾.Unaota Talanta kukwama while we are on the third floor already wakati nyinyi mmeshinda kuspchimba foundation ya Arusha 20k seater stadium for a year now. Going by the soeed mnaenda nayo it’s obvious 2027 itafikia before mmalize that stadium.
Baada ya kuona hivi nyang'au akina NairobiWalker wameacha ile 'daily dose' yao waliyokuja nayo kwa mbwembwe hapo awali😂Viwanja vipya vya mpira TZ vilivyoanza ujenzi last year and this year huu.
1.Suluhu stadium 20k seats .
2.Arusha stadium 30k seats
3.Dodoma stadium 32k seats.
Ni kweli, ila wenu naona canopy imekuwa extended mpaka kwa kipa, hongereni sana, nawapongeza😅Watanzania ni lini mtaacha kuwa wajinga? All the stadiums in the world have canopies.
Wanatamani design ya Talanta, alafu hii stadium kwani imekuwa designed with no seats? So where are they getting the 22k seats from?😂😂😂
View: https://x.com/CharlesChelsea_/status/1889996113769537794
Yaani tuwe level moja na slum dwellers usijenifanya nianze kuliaZile mauongo watanzania wanalazimishwa kusema ndio waonekane same level na wakenya zinashangaza sana.😂😂
Na mimi nimeikuta, nimeshtuka kidogo, maana haijazungumziwa kabisa kwenye habari za Tanzania
Imekanushwa but tusubirie mdaNa mimi nimeikuta, nimeshtuka kidogo, maana haijazungumziwa kabisa kwenye habari za Tanzania