Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ifike muda kuwe na contractor wa viwanja tu, wachina wanatuzoea, hata kama hammpendi Magufuli fata formula yake ya wakandarasi mbona kipindi chake Wachina walikua na adabu maana hujui utapewa au vipi, SGR yappi, JNHPP- Arab Contractors, Elsewedy Electric, Kimara kibaha - Estim Construction, etc wachina ilikua wafunge mikanda nadhani mchina pekee wa kueleweka ni CCECC, jitu kama SINOHYDRO ufala mwinyi.

So ifike muda hawa wachina wajue ni pata potea. Siku hizi kila mradi unasikia mchina.
hata yeye kulikuwa na tatizo Avic Ring Road na Yapi Merkezi ugawaji wa lot 3 na 4 haukufuata taratibu!
 
This project ikiisha Arusha and Mwanza itaona Kisumu kwa Viu sasa.

1738767193507.jpeg
 
Onesha ushahidi kuwa ni Watanzania.
I know how Tanzanians sound buana and I know how Kenyans sound even when criticizing Kenya. Jiulize kwa nini sijasema hao wa mabasi ni watanzania ila hao wa metros nasema ni watanzania.
 
Back
Top Bottom