Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani huyu jamaa alijaribu kujipendekeza kuomba asainiwe wasafi na kutaka collabo Diamond akamkatalia ndipo beef ikaanza!
Sasa afanye colabo na diamond si kama diamond anajirudisha underground, hana energy ya kucope na diamond kwenye game, hata raivany hakustahili kumpa colabo, anahangaika kusound kama bongo flava lakini bado hata Singida tu watu hawamjui
 
Haha anacopy kila kitu acopy na hii

View: https://vm.tiktok.com/ZMk87Cq4t/
Mwenzake baada ya pale furaha akashuka kwa madiba kupiga show nyingine, wakati willy powowo akiwa anauguza majeraha ya onesmo
Kwele zake onesmo

Onesmo was the man of the match, alitakiwa ampe sugunyo ya adabu kwa heshima ya Tanzania, katutoa kimasomaso, ngumi wamekula na pesa tumechukua na hatujaperform, mtanzania akiamua kukuona trash tunaendaga extra miles
 
Tutapiga show sehem nyingine leteni show ya willy pawowo aliyojazq kamq hivi @

View: https://vm.tiktok.com/ZMk8WERst/

I must admit, your musicians are good at composing and recording songs but when it comes to stage performance mko zero. Tanzanian musicians can't perform. You only have a bunch of dancers and the main act jumping and shouting on stage. No Tanzanian musician has a band. Someone like diamond at some point had receive international recognition and had started getting international shows but his deplorable stage performance got the best of him and currently no one invites him for shows outside East Africa. Meanwhile here is a classic Kenyan stage performance. Gold


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdVXMwxDmgI


View: https://www.youtube.com/watch?v=nDVr4IS-8-E

Compare na huu uchafu wa Dayamondi


View: https://www.youtube.com/watch?v=R_HLTRvXPcM
 
Kwanza hiyo title ya msafi nani kampa? Anabreach wasafi copyright rights, hakuna international body wasafi wanaweza msue huyu punda?
Willy Paul alianza kujiita Msafi kabla hata Diamond acome up na Wasafi. Alijiita Msafi akifanya gospel music na alijipa hilo jina kisa wengi walikuwa wakimharibia jina.
 
I must admit, your musicians are good at composing and recording songs but when it comes to stage performance mko zero. Tanzanian musicians can't perform. You only have a bunch of dancers and the main act jumping and shouting on stage. No Tanzanian musician has a band. Someone like diamond at some point had receive international recognition and had started getting international shows but his deplorable stage performance got the best of him and currently no one invites him for shows outside East Africa. Meanwhile here is a classic Kenyan stage performance. Gold


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdVXMwxDmgI


View: https://www.youtube.com/watch?v=nDVr4IS-8-E

Compare na huu uchafu wa Dayamondi


View: https://www.youtube.com/watch?v=R_HLTRvXPcM

Live performance bongoslum wanakuanga nje mbaya sana, wamezoeshwa lip sync performance.
 
I must admit, your musicians are good at composing and recording songs but when it comes to stage performance mko zero. Tanzanian musicians can't perform. You only have a bunch of dancers and the main act jumping and shouting on stage. No Tanzanian musician has a band. Someone like diamond at some point had receive international recognition and had started getting international shows but his deplorable stage performance got the best of him and currently no one invites him for shows outside East Africa. Meanwhile here is a classic Kenyan stage performance. Gold


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdVXMwxDmgI


View: https://www.youtube.com/watch?v=nDVr4IS-8-E

Compare na huu uchafu wa Dayamondi


View: https://www.youtube.com/watch?v=R_HLTRvXPcM

Unaweza leta latest performance ya Kenyan musicians huko duniani badala ya kutuletea performance za mwaka 2022 . Kama hapati shows compare and contrast gharama ya kumkaribisha msanii yoyote wa kenya na kama anafika hata nusu ya thamani ya diamond
 
I must admit, your musicians are good at composing and recording songs but when it comes to stage performance mko zero. Tanzanian musicians can't perform. You only have a bunch of dancers and the main act jumping and shouting on stage. No Tanzanian musician has a band. Someone like diamond at some point had receive international recognition and had started getting international shows but his deplorable stage performance got the best of him and currently no one invites him for shows outside East Africa. Meanwhile here is a classic Kenyan stage performance. Gold


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdVXMwxDmgI


View: https://www.youtube.com/watch?v=nDVr4IS-8-E

Compare na huu uchafu wa Dayamondi


View: https://www.youtube.com/watch?v=R_HLTRvXPcM

We maku mbona unapenda kuongelelea vitu zenye hujui kabisa kuhusu hivyo vitu.? 😂😂😂😂 hawa wasanii wako wote tu kwa wasanii wa bongo ni takataka tu.. kuhusu stage perfomance Diamond amekua akichukua hizo tuzo za best perfomer karibu kila siku.. last time Naseeb kushinda Europe music awards👇🏾
IMG_3216.jpeg


Na kusuhu hizo classic live performance kenyans ni under dogs kulinganisha na Tz. Unawajua, akina Barnaba boy, Ally kiba.? Mbosso, Linnex, Christian Bela, Banana zoro, Rubi, n.k.? Pitia some of those performance then njoo tujadili kimbwelu wewe. 👇🏾
View: https://youtu.be/c71xM6k0J74?si=WRjyWe3Z-FI8Q2XY. Na hao wasanii wote wako na Bands zao, they have invested heavely in their music. 😂😂😂


Again unadai eti Diamond hana current invites za internatinal shows, uko na akili wewe.? 😂😂😂 tunavyoongea hivi sasa Naseeb yuko zake Paris for the show. Hizi ni some of his latest shows, global show. 👇🏾 diamond in portugal 👇🏾
View: https://youtube.com/shorts/qFjWLGUiG0E?si=TnFNJbKyJS8FCWld. Last month performance in Capetown 👇🏾
View: https://youtu.be/kqrhKuG-XhI?si=2vTch8GtYCsPa6U8.

Skia we mbwa kama huna unajua kaa tuliza matako nyamaza, kimziki nyinyi ni wadogo sana kwetu, stay on your lane.
 
Unaweza leta latest performance ya Kenyan musicians huko duniani badala ya kutuletea performance za mwaka 2022 . Kama hapati shows compare and contrast gharama ya kumkaribisha msanii yoyote wa kenya na kama anafika hata nusu ya thamani ya diamond
Soma nilichoandika uelewe. Wacha kubwabwaja. Ama kizungu ndio ngumu?
 
Back
Top Bottom