Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
kwani ni mizigo hewa...jinsi bado mlivyo LDC...bandari tu inaweza ikaitajirisha nchi vilivyo80% mzigo wa rwanda unaingia na kutoka bandari ya dar es salaam, 80% mzigo wa congo unaingia na kutoka bandari ya dar, 100% mzigo wa zambia and malawi unaingia na kutoka bandari ya dar, 80% mzigo wa burundi unaingia na kutoka bandari ya dar, 20% mzigo wa kozambique unaingia na kutoka bandar ya dar, uganda 60% mzigo unaingia na kutoka bandari ya dar, 100% mzigo wa comoro unaingia na kutoka bandari ya dar