Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wenzako wanatengeneza pesa wew unatengeneza umbea jf, zuzu kweli we jamaa 😂😂 upo jf 24/7, jobless.
Najua nawaudhi lakini usijali, I’m just exposing Tanzanians dirty deals and how mnaharibu nchi za watu wengine😂😂
 
NairobiWalker ebu waone, in South Africa ukisema you are a Tanzanian they automatically associate you with drugs hata kama huna😂🤣😂


View: https://x.com/Rybr0X/status/1675807547352031232

IMG_0708.png
 
Wafukuzwe kabisa.
Sasa wafukuzwe vp wakati hao ni Wakenya wenzenu? Wacheni ujinga, tangu 2017 story zenu ni hizi hizi na hamuwafukuzi, hao ni Wakenya wenzenu na hawana hata passport, mnawezaje kusema hao ni watanzania? Kama mna balls muwa deport, lkn hamuwezi kwasababu hao ni Wakenya OG msiwape utanzania ili kuficha shida mlizonazo. Mbona sisi huku wakenya washenzi tunawafukuza, nyinyi mnashindwa nini? Tangu 2017 wimbo ni huohuo lkn hamuwarudishi, wacheni ujinga, tunajua Kenya ni nchi yenye maskini wengi kuliko nchi nyingi duniani, so pambaneni mpate solution na sio kuongopa eti ni watanzania, ombaomba gn atoke Dodoma aje Nairobi kuomba? Passport katoa wapi? Nauli katoa wapi? Sisi huku tuna mataasisi kwa ajili ya maskini kama hao na wanapewa pesa kila mwisho wa mwezi, inakuaje aje Kenya? Kufuata nini hasa? Wacheni ufalamanga, ndugu zenu hao.
 
Watchman amekasirika kweli kweli na hii sentence Yako. Ama yeye pia anauza unga😂🤣😂
Ameandika paragraph ndefu ajabu Hadi amejisahau anaongelea Kenya wakati Mimi niliongelea SA.😂😂😂
People are getting depressed here 😭
 
Wewe shoga Commonwealth is not a world event😂😂🤣😂.

Countries that make up Commonwealth aren’t even quarter of all countries in the world. Commonwealth has 50 countries against a total of 195 countries in the world😂🤣😂
umeishiwa pumzi. Endelea na mabishano. Ngoja tupige pesa. Tunajua 24/7 upo JF because you are jobless.
 
Back
Top Bottom