Daah hili taifa limechoka sana.
chukua record ya just 6months lamu port zilizopita ujionee utacheka pekeako bro ππ
Hawa nyang'au wanapenda kujipa umaarufu ambao hawanaπtafuteni ushahidi mukipata tu mulete humu ndani ππππ
yani rais aache kwenda south africa au europe aje kwenye nchi hata dawa za TB hakuna hospitalini
walau tungeona picha sawaHawa nyang'au wanapenda kujipa umaarufu ambao hawanaπ
Inahudumia punda, ngamia na mkaa π€£π€£π€£inahudumia nn so far??ππππ
au hua munashangilia tu
kwa hiyo lile bonde la msimbai linaenda fanyiwa manouver
Maneno ya kwenye kanga hayo kijana leta ushahidi hapa πWhere Magufuli took his last breath
View attachment 3107039
πππππ amemaliza adani sasa mchina anakula kichwa
View: https://x.com/patrickbusaka1/status/1839016945003172188?s=46
View: https://x.com/tweetbyjuma/status/1839012367415619814?s=46
View: https://x.com/danielkanja/status/1839013901834625234?s=46
View: https://x.com/djfineking/status/1839189225264050486?s=46
View: https://x.com/milkaadhia77839/status/1839013134763442358?s=46
Watakaa wakati kwao kumekucha bila Mafuta? ππππππkwahiyo leo mmekimbia wote
Ushahidi ndo huo hapo.Maneno ya kwenye kanga hayo kijana leta ushahidi hapa π
largest kwenu sio kwetu, zaidi ya the nation toa media nyingine iliyoripoti huo utumboUshahidi ndo huo hapo.
Nation is the largest media house in East and Central Africa by the way
View attachment 3107188
Mtaficha na kulia sana lakini ukweli utabaki ule ule π€£π€£ Magufuli alikua Nairobi hospital ICUππππππWe mpuuzi yani mleta habari Mkenya mwenzenu!??
Umepagawa wewe.