Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umesema tumewashinda uchumi kisa mlikomboa nchi za Africa, nimekujibu kwamba uchumi wetu ulishinda wenu mwaka wa 2005. Sasa sahii unarudi kwa sijui shilingi kudevalue. Hivi unajielewa kweli? Shilingi kudevalue is just a sign of economic downfall, not the cause. Wewe nijibu ni nchi gani mlikomboa mwaka wa 2005 ndio tukawashinda uchumi?
Wewe mpuuzi unajua vita ngapi tunapigana wakati huo, Mozambique, Zimbabwe, Angola, Namibia, South Africa tunakabili, Seychelles tumefanya mapinduzi na kuendelea kuyalinda mpaka 1990 same na waasi wa Renamo Mozambique. Tumeingia Uganda. Unajua gahrama za hizi vita zote?
 
Enyewe ushamba ni mbaya. 🤣 🤣 🤣 Ile shule nilisomea high school walikua wanatumia gas na sikuwai ona ikiwa kitu ya maana. Kumbe ni jambo la kushangaza huko bongoslum. 🤣🤣🤣
Ujue hiyo ni shule Maalum ya serikali. Yani ukilinganisha hiyo na hii MPESA School yetu ambayo ni shule maalum ya serikali utacheka tu. 🤣 🤣

The-MPESA-Foundation-Academy.jpg
MPESA-Foundation-Academy.jpg
53004345_2298079780476726_1890354586032537600_n.jpg
52713781_2298079677143403_8074026092521848832_n.jpg
 
Wewe mpuuzi unajua vita ngapi tunapigana wakati huo, Mozambique, Zimbabwe, Angola, Namibia, South Africa tunakabili, Seychelles tumefanya mapinduzi na kuendelea kuyalinda mpaka 1990 same na waasi wa Renamo Mozambique. Tumeingia Uganda. Unajua gahrama za hizi vita zote?
Bro, naongelea 2005 wewe upo miaka ya 1990s na 70s. Uchumi wenu mbovu ni kutokana na ufisadi na uvivu. Wacheni kudanganyia eti sijui ukombozi ama nini. Kama huo ukombozi ndio ulidorora uchumi wenu mbona ukawa juu hiyo miaka na ukazorota baadaye mwaka wa 2005 hadi tukawapiku?
 
Bro, naongelea 2005 wewe upo miaka ya 1990s na 70s. Uchumi wenu mbovu ni kutokana na ufisadi na uvivu. Wacheni kudanganyia eti sijui ukombozi ama nini. Kama huo ukombozi ndio ulidorora uchumi wenu mbona ukawa juu hiyo miaka na ukazorota baadaye mwaka wa 2005 hadi tukawapiku?
We naye hebu kwenda bhn wee economy unajua maana yake wewe? Economy yenye madeni kuliko mlicho nacho, economy inayoshindwa kufanya miradi kwa pesa za ndani, economy inayozalisha ma slums everywhere, economy inayoomba mpaka vitu vidogo tu kama stadium, economy isiyokuwa inclusive, economy inayoacha watu wafe njaa, economy inayopewa msaada wa chakula mpaka leo 2024. Hebu tutokee huko.
 
Bro, naongelea 2005 wewe upo miaka ya 1990s na 70s. Uchumi wenu mbovu ni kutokana na ufisadi na uvivu. Wacheni kudanganyia eti sijui ukombozi ama nini. Kama huo ukombozi ndio ulidorora uchumi wenu mbona ukawa juu hiyo miaka na ukazorota baadaye mwaka wa 2005 hadi tukawapiku?
Nimekuambia vyema tu, hali ya uchumi iliamza kuwa mbaya sana hasa baada ya nyinyi mbwa kuiba assets za jumuiya ya EA, sisi kufunga border na nyie na kuingia kwenye mavuta na Renamo, visiwani Seychelles na hasa Uganda. Tunatoka hapo mashirika mengi yanaaza kufa taratibu na kufa rasmi kadri muda ulivyozidi kwenda.
 
Rais wao kageuka ombaomba, hakai kutulia mda wote anaangaika kutafuta pesa ya chakula na mishahara, mpaka amefikia kuanzisha chuo cha ma house maid ili awauze wananchi wake kutokana na kuwa na uchumi hafifu usioweza kutengeneza ajira kwa wananchi alafu anakuja mkenya anaongelea economy mbele ya mtanzania kutoka nchi ya asali na maziwa, hawa wakenya wamechanganyikiwa sio bure.
 
Bro, a typical Tanzanian village school looks like this. Danganya mwenye hajawai fika Tanzania. In fact nilikuambia uniletee picha tu Moja ya village public primary school hapo Vumbistan yenye haina tiles hutoweza.

View attachment 3103416View attachment 3103417

View: https://www.instagram.com/reel/C_43tJPIXYn/?igsh=ZGl6amRzMXlsbzB5 huyu dada yenu nataka nioe,looks kenya wanawake ndio wenye akili ndio uwa wanawapiga midume,angalia anachokiongea huyu dada
 
Nimekuambia vyema tu, hali ya uchumi iliamza kuwa mbaya sana hasa baada ya nyinyi mbwa kuiba assets za jumuiya ya EA, sisi kufunga border na nyie na kuingia kwenye mavuta na Renamo, visiwani Seychelles na hasa Uganda. Tunatoka hapo mashirika mengi yanaaza kufa taratibu na kufa rasmi kadri muda ulivyozidi kwenda.
Umetoka kwa ukombozi umeenda kwa EAC tena? Naona umeishiwa bradhee. 🤣 🤣 🤣
Anyway, EAC imevunjika mwaka wa 1977, uchumi wetu umezidi wenu mwaka wa 2005. Huoni unajikanganya. Leo nimekushika makende sikuachilii. 🤣🤣🤣
 
Umetoka kwa ukombozi umeenda kwa EAC tena? Naona umeishiwa bradhee. 🤣 🤣 🤣
Anyway, EAC imevunjika mwaka wa 1977, uchumi wetu umezidi wenu mwaka wa 2005. Huoni unajikanganya. Leo nimekushika makende sikuachilii. 🤣🤣🤣
Hakuna uchumi mliotushinda. Nyie mna njaa tangia uhuru mkapa leo mnaokota vitu road na kula.
 
Wewe mpumbavu mbwa wewe pitia hii documentary uone vile we invest more money and technology kwene kuchimba madini. Halafu you here eti unasema we are lazy na kupata dhahabu ni bahati.? Are you crazy or something.? Au ni vile hujui chochote kinachofanyika mpaka watu wa Sparta dhahabu.? Pitia hii 👇🏾
View: https://youtu.be/qrQIyI8efcM?si=8WjyY9kKrjeizBg9. We are not you. Nyinyi ndio watu lazy in the region and that’s why you can’t even feed yourselves. Mnajisifu kwenye hakuna wapumbavu nyinyi. NairobiWalker
 
Back
Top Bottom