President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
Sisi tunaenda Saudi Arabia kusoma wao wanaenda kufanya kazi za ndani. Tofauti ni kubwa sana
Was he not elected by other countries? Punguza feelings we mzee.sasa chairman wa board kitu cha rotation hicho! Wala hakina cha maana!
International Affairs zinapiga chenga sana wakenya. Someni International Relations mjifunze DiplomacyWas he not elected by other countries? Punguza feelings we mzee.
Definitely not, he was elected by board members! Mkunya si kila kitu mashindano!Was he not elected by other countries? Punguza feelings we mzee.
Simple English inawashinda. 🤣 🤣 🤣International Affairs zinapiga chenga sana wakenya. Someni International Relations mjifunze Diplomacy
Chair of WHO in the region is the rotation issue. Kama alivyo mwenyekiti wa EAC nchi zinabadilishana kijana. Hata mwenyekiti wa UN ni mabadilishano.
Kazi ya Mwenyekiti ni kukaa kwenye kiti cha mbele kwenye vikao vinavyofanyika vya mawaziri.
Director yeye lazima awe mtaalam anashughulika na Daily activities za WHO na anamsaidia Director mkuu wa WHO dunian Dr. Tedros Adhanom kwa masuala yote yanayohusu afya Afya.
Yeye ndiye anayeunda Policies za Afya Africa. Mawaziri wanakuja kusomewa na Kupitisha tu
Tunaposema Education yenu ni mbovu proofs ndio hizi mnavyo jiaibisha kwenye social media.
Acha uvivu wa kusoma kijana. Mambo hayo ni ya rotation. Hebu tuambie alikaa miaka mingapi? Maximum huwa ni just one year.
Angalia orodha ya wenyeviti wa board kuanzia 2017 mpaka leo:-
Kenya was elected by who? Au Africa hakuna countries? 🤣 🤣Acha uvivu wa kusoma kijana. Mambo hayo ni ya rotation. Hebu tuambie alikaa miaka mingapi? Maximum huwa ni just one year.
Soma mambo ya International affairs
Chairperson is a ceremonial leader in UN organizations
View attachment 3081389
Every region inafanya election/nominations zake. Nini ngumu kuelewa hapo.Angalia orodha ya wenyeviti wa board kuanzia 2017 mpaka leo:-
Dr Hanan Mohamed Al Kuwari (Qatar), Chair 2023
Dr Kerstin Vesna Petrič (Slovenia) Chair 2022
Dr Patrick Amoth (Kenya), Chair 2021
Dr Harsh Vardhan (India) Chair 2020
Dr Hiroki Nakatani (Japan) Chairman 2019
Mrs Maria Nazareth Farani Azevêdo (Brazil) Chairperson 2018
Dr Assad Hafeez (Pakistan) Chair 2017
Jifunze uweze kuelewa dunia ipoje
Lini ilifanyika uchaguzi wa Dr Patrick Amoth na candidates wengine walikuwa nani na nani kutoka nchi gani?Every region inafanya election/nominations zake. Nini ngumu kuelewa hapo.
Mzee hayo ni mambo ya kawaida hakuna election hapo. Zamu ikiwafikiwa mnatoa Chairperson for one year.Kenya was elected by who? Au Africa hakuna countries? 🤣 🤣
Eti "Education System of Kenya". Tumia tu Kiswahili we pimbi. 🤣 🤣 🤣Mzee hayo ni mambo ya kawaida hakuna election hapo. Zamu ikiwafikiwa mnatoa Chairperson for one year.
Education System of Kenya imewafanya muwe stupid.
Tayari umeshalowa 🤣🤣🤣🤣🤣Eti "Education System of Kenya". Tumia tu Kiswahili we pimbi. 🤣 🤣 🤣
Hizi hapa bus standard za Isuzu. Hayo makopo sijui mnayatengeneza ya nini. Is only for KenyaView attachment 3081428
Kutoka kwenye Engine and Chassis ya Malori ya Isuzu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Vyuma chakavu