Hapo ni Kericho, haiwezikani iwe Nairobi hapo, Nairobi ipo level ya Cape Town, haiwezikani hayo mazingira yakawa ni Nairobi

ha haaa......nimecheka sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ndinda umeua panya kwa jembe.
Naomba umjulishe kadoda kwamba umepata siraha nyingine ya kupigia nyang'au kichwa.
Namuona kwa mbaali kamanda wa GSU akiangalia sofa linaloning'inia ghorofani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

halafu nimegundua hilo jengo lao lenye antenna juu sio lefu kiivyo,ni fupi.Hapo ni Kericho, haiwezikani iwe Nairobi hapo, Nairobi ipo level ya Cape Town, haiwezikani hayo mazingira yakawa ni Nairobi

Hiyo picha ya kwanza thibitisha kama ni Tanzania, umezidiwa sasa unaokoteza picha za DRC unazitumia ukidhani zitakusaidia

ndinda naomba unipe keyword uliyotumia ku search hizi picha ili nami nitumie ku search picha zaidi.Huwa mnafananisha Kariakoo na UMOJA estates, Noma sana ni aibu, published 3 DAYS AGO.
Huruma, Umoja and 6 other Nairobi estates with most dangerous houses identified Read more: Huruma, Umoja and 6 other Nairobi estates with most dangerous houses identified
![]()
![]()
![]()
No such things in KARIAKOO

Hiyo samora ukipewa pichaa saa hii uone pakoje.utameza panado ukalale.
Hawa watu lazima uwafahamu vizuri, wanapenda sana sifa za kijinga, kwahiyo wanalazimika kusema uongo muda mwingi ili kujitafutia sifa, hawa kiboko yao ni alshabaab, waliingia Somalia kwa mbwembwe sana, sasa hivi kila mwanajeshi wa KDF kabla ya chupi huwa wanavalishwa pampers kwasababu wakisikia alshabaab wanakuja huwa wanajiharishia sanahalafu nimegundua hilo jengo lao lenye antenna juu sio lefu kiivyo,ni fupi.
sema tu huwa wana li-overrate kwa picha za mbali ili lioneke babkubwa kumbe hivyo.![]()
![]()
![]()
Mkuu kwa heshima ya sherehe ya uhuru wa tanzania,nipee huyo nyang'au hapo chini picha mbili za samora na ktk hilo jengo ameweka.Wanakuambia investors wanajenga Towers halafu government yao inajenga infrastructure, Imagine Kama Ndio Plan ya Nchi kufanya hivyo , wanaidhalilisha CBD mpya hivi? Yaani kuna nguzo za umeme ambazo zimejaaa matangazo ya waganga wa jadi ( Matangazo ya waganga wa Jadi ndani ya moja wapo ya CBD tano za Middle income country (Lower Middle income)
Hapo watakuambia waganga wana hustle ni entrepreneur spirit ya Nchi.
Au watakuambia hao waganga ni watanzania![]()
Hiyo samora ukipewa pichaa saa hii uone pakoje.utameza panado ukalale.
Wacha nikuitie
Cc NDINDA.

Wakijaribu upanga watatoka bila chupi 😀😀kwa siku 5 mfululizo thread haijawa friendly kwa wakenya....kila plan wanayokuja nayo inafeli.
walikuja na plan ya nairobi + mombasa vs dar es salaam,dar ikaibuka mshindi.
wakaja na plan ya nairobi vs kariakoo, kariakoo ikaibuka mshindi.
wanataka wajaribu nairobi vs upanga ila wanaogopa cos wanajua kwa vyovyote vile upanga itashinda.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()