mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
baada ya kariakoo kunyorosha nairobi,sasa hivi hauwezi ukasikia wakenya wakileta "nyenyenye" kuhusu kariakoo.... wapo kimya.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
yaani kitu ichoboy amewafanya wakenya leo katika huu uzi,hawatamsahau.Natangaza rasmi kuwa ichoboy ni kijana mwenye roho mbaya kupata kutokea ktk huu uzi.
Sijui kama kuna mkenya anayo nguvu ya kuendelea kubishana.