Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

baada ya kariakoo kunyorosha nairobi,sasa hivi hauwezi ukasikia wakenya wakileta "nyenyenye" kuhusu kariakoo.... wapo kimya.
yaani kitu ichoboy amewafanya wakenya leo katika huu uzi,hawatamsahau.


Natangaza rasmi kuwa ichoboy ni kijana mwenye roho mbaya kupata kutokea ktk huu uzi.

Sijui kama kuna mkenya anayo nguvu ya kuendelea kubishana.
 
Muliacha ku2ma inchi yah enyewe
Mtoni marine znz tanzania 😀😀😀😀
IMG_1402.JPG
 
yaani kitu ichoboy amewafanya wakenya leo katika huu uzi,hawatamsahau.


Natangaza rasmi kuwa ichoboy ni kijana mwenye roho mbaya kupata kutokea ktk huu uzi.

Sijui kama kuna mkenya anayo nguvu ya kuendelea kubishana.
washamba kweli....ati Zanzibar. Bona wizi ivyo mnajianika.2....ati.....kariako.. .majumba...mnaita towers yamejaa chupi na matowel
 
washamba kweli....ati Zanzibar. Bona wizi ivyo mnajianika.2....ati.....kariako.. .majumba...mnaita towers yamejaa chupi na matowel


hamna uchafu huu Kariakoo, huku ni kwenu, na unaonekana unaongea kwa exeperience.
AN APARTMENT BUILDING IN NAIROBI'S HURUMA ESTATE.)

app.jpg
 
washamba kweli....ati Zanzibar. Bona wizi ivyo mnajianika.2....ati.....kariako.. .majumba...mnaita towers yamejaa chupi na matowel
tumeomba mtupe county yoyote ya kenya yenye density ya hivi na ustaarabu kuzidi kariakoo.wiki ya saba now tunasubiri tu.
 
Uneni huyu mjinga....KNH separated the first conjoined twins this side of the sahara apart from SA
Ninyi media zenu ndizo zinazowadumaza akili zenu, hamjui kwamba wenzenu wameshafanya hiyo operation zamani sana, sisi Tanzania tulifanya hiyo procedure ya kutenganisha conjoined twins inb1994, ninyi mumefanya 22yrs later mnapiga kelele kama vichaa
 
tumeomba mtupe county yoyote ya kenya yenye density ya hivi na ustaarabu kuzidi kariakoo.wiki ya saba now tunasubiri tu.
Ati ...county...mumeanza kujiibia ...kariakoo.ni ward...washamba...utaskia wakisema dar ni inchi na tz ni continent.... nyie maziwa lala 2
 
Back
Top Bottom