Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chuo cha Kilimo Butiama mwakani 2025 mwezi wa saba kitakuwa tayari na wanafunzi wataweza kuingia mwakani mwezi wa 10


View: https://youtu.be/Jart0ibGndo?si=-YMCUHNS2yY2x2NO

Mama amesambaza Vyuo Vikuu Mikoa yote Tanzania.

Kwa Sasa ni sahihi kusema Tanzania Ina Vyuo Vikuu vingi kushinda Kundustan👇👇
Screenshot_20240601-124125.jpg
Screenshot_20240428-085409.jpg
Screenshot_20240428-085348.jpg
Screenshot_20240428-085740.jpg
Screenshot_20240428-085456.jpg
Screenshot_20240428-085541.jpg
 
Hii chuma itawahi kufika Mwanza kabla ya Ile ngalangala halijafika Mombasa 🤣🤣🤣
Dar to mwanza 1200km
Dar to kigoma 1400km

Mombasa to Kampala 1100
Wakunya wanafaa watupe heshima yetu sijui kwanini huwa watuchukulia poa sana na kingereza chao chote na gdp wameshindwa kukamilisha km 300 mpaka mpakani
 
Back
Top Bottom