chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,692
- 45,963
๐๐๐๐ Wamenikera sana wamevimbiwa na misosi ya bill passers wakasahau focal mission ๐ฎ๐ฎ
View: https://x.com/letstalklawke/status/1805614336561344793
MY TAKE
Generation Z inasubiri nn kuchoma parliament?
Mbona police kama mchicha mwiba ๐๐๐๐๐ hawa wakiland Haiti watarudi na mimba
Hapa unaona kabisa hata mapolisi wanashiriki maandamano in cognito ๐๐๐๐
Office kama ya mgambo ndio anakaa jaji mkuu kwanini performance yake isiwe mbovu
Mimi nashangaa huyu kilaza JM alifikiria nini hata kutaka kuwekeza majengo ya gharama vile huko kenya.. jamaa ni mpumbavu sana aisee.. tunaenda vipi kuwekeza kwenye taifa ambalo halina uhakika wa kesho yao.? Muda wowote watu wanachoma Mali za wawekezaji... this is shameful. Bro doesn't deserve the position.. he must resign..Yaani chini kuna polisi watu wanavunja jengo na kuchoma moto la foreign country? Kenya how shameful is your country? Mnaweza kulinda nini? No wonder Al Shabab wamewashika makalio, mlipeleka Askari Polisi Haiti kufanya nini? Mnashindwa kudhibiti hao Wakora mtaweza wale gangstars? Haki nimesikitika, bure kabisa. Msiendelee kujilinganisha na sisi.
Hiyo finance bill ni dawa kwa uchumi wao ulioelemewa na madeni na dawa siku zote ni chungu, huyu Rais wao alishakuta uozo tayari umefanyika na awamu iliyopita tatizo hakuwa mkweli aliwaaminisha wakenya akiingia kila kitu kingekua sawa wakati amerithi a bankrupted nation, wasipopitisha hiyo bill Kunyaland inaenda kuwa kama Zimbabwe in totalityTulipofunga mikanda baada ya vita vya Kagera hawa nyang'au walitucheka sasa yamewakuta๐๐
Hivi kuna mtanzania hata mmoja alishaenda Kunyaland kuexperience sgr yao? Lakini angalia hawa halafu watasema watanzania tunawagoogle sana ๐๐๐Mkenya anaependa ukweli ๐ ๐ ๐ ๐๐
View attachment 3026022
Si walikua wanashangilia ruto alipokaa kwenye kiti cha biden ๐ ๐ ๐ ๐ mwengine akasema Kenya ni USA ya AfricaRuto is in a fix he is between a rock and a hard place Kenyans must understand there is no other way apart from increasing taxes uchumi unaenda ku collapse the only way to save it ni kupitisha hiyo finance bill inabidi as a nation wafunge mikanda for at least 3-5 years before mambo zikae sawa.
Naomba hawa ndugu zetu waache fujo trust serikali yenu mambo yatanyooka tuu vurugu haisaidii chochote.
Ili iweje? Si afadhali upande Tzr.Hivi kuna mtanzania hata mmoja alishaenda Kunyaland kuexperience sgr yao? Lakini angalia hawa halafu watasema watanzania tunawagoogle sana ๐๐๐