Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Roho inakuuma kisawaswa πŸ™ŒπŸ˜­πŸ˜­
Inaniuma kivipi wakat madeni mumeyabeba kichwani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na bado dunia mumeibeba pia inawapeleka mbio

Uchumia ambayo kwenye kila ksh 10 basi ksh 6 inaenda kulipa madeni na hio 4 iliobakia ndio mishahara, maendeleo, bado mafisadi hawajaiba humohumo etc
 
Wewe ndio utakuja kupiga nduru muda sio mrefu. As for us we have a free floating currency
Baada ya wewe kuongea hili ilibidi nirudi darasani nikapitie madesa yangu. Mzee nimekutana na taarifa hii hapa ya 2022 kutoka IMF

1718695501417.png
 
Inaniuma kivipi wakat madeni mumeyabeba kichwani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na bado dunia mumeibeba pia inawapeleka mbio

Uchumia ambayo kwenye kila ksh 10 basi ksh 6 inaenda kulipa madeni na hio 4 iliobakia ndio mishahara, maendeleo, bado mafisadi hawajaiba humohumo etc
Je unajua vumbistan inadaiwa 37bn USD amabayo ni almost nusu ya GDP yenu. Je unajua kwamba Kenya hatujawai samehewa deni wala kuuza mali za nchi. Je Una habari mmeuza bandari kwa DP world na mko mbioni kuuza migodi kwa South Korea. Ulitaka tusilipe deni ilitufanane πŸ™ŒπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‰πŸ’
 
Je unajua vumbistan inadaiwa 37bn USD amabayo ni almost nusu ya GDP yenu. Je unajua kwamba Kenya hatujawai samehewa deni wala kuuza mali za nchi. Je Una habari mmeuza bandari kwa DP world na mko mbioni kuuza migodi kwa South Korea. Ulitaka tusilipe deni ilitufanane πŸ™ŒπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‰πŸ’
Public and publicly guaranteed debt in nominal terms as at end June 2023 was Ksh. 10,278.7 billion (70.8 percent of GDP).

Check Mwishoni kwa Page x
 
Je unajua vumbistan inadaiwa 37bn USD amabayo ni almost nusu ya GDP yenu. Je unajua kwamba Kenya hatujawai samehewa deni wala kuuza mali za nchi. Je Una habari mmeuza bandari kwa DP world na mko mbioni kuuza migodi kwa South Korea. Ulitaka tusilipe deni ilitufanane πŸ™ŒπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‰πŸ’
Debt to GDP ratio kwa Tanzania iko 40%
So what about debt to GDP ratio ya Kenya iko 90% ndio maana mumefkia hatua ya kukopa halima kulipa Peter πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani KAZI yenu ni Ku double interests kwenye nchi inanuka madeni kila Kona, nchi iliofikia kukopa 250b kshs ili Ku stablize shilling against dollar mulivo na akili za kihayawani
 
Debt to GDP ratio kwa Tanzania iko 40%
So what about debt to GDP ratio ya Kenya iko 90% ndio maana mumefkia hatua ya kukopa halima kulipa Peter πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani KAZI yenu ni Ku double interests kwenye nchi inanuka madeni kila Kona, nchi iliofikia kukopa 250b kshs ili Ku stablize shilling against dollar mulivo na akili za kihayawani
Prove kwamba ratio yetu imefika 90% niondoke Jf. Meanwhile vumbi nation pamoja na debt forgiveness mmefika 49% na inapanda kwa speed ya 5G
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom