ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nasema hvi ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka nitag mm 🤣🤣 nakusubiria Niko palee
Nasema hvi ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka nitag mm 🤣🤣 nakusubiria Niko palee
Wanafkiri mchina Hana akili 🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1788835146331820302?t=hqAOqExbp8sueUqvl29vrQ&s=19
Unalia ukiwa wapi? Yemen ama Tanzania ?😂😂😂Nasema hvi ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka nitag mm 🤣🤣 nakusubiria Niko palee
Nakwambia ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka unitag mm
Wanafkiri mchina Hana akili 🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1788835146331820302?t=hqAOqExbp8sueUqvl29vrQ&s=19
Nasema tena ukipata sehemu yoyote duniani AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka nitag mm nifunge ACC 🤣🤣🤣🤣🤣
Siku mtafikia AVA kuja tuongee😂😂😂Nakwambia ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka unitag mm
View attachment 2986498
So hizo figures huoni ama kusoma ndio shida kwako?😂😂😂Nasema tena ukipata sehemu yoyote duniani AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka nitag mm nifunge ACC 🤣🤣🤣🤣🤣
Ikiwa 90% gari za Kenya ni probox direct from Japan 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajua Mining Industry kwa sasa Tanzania ni kubwa mno. Tukija kwenye construction ni kubwa mno.Nakwambia ukipata sehemu AVA ime assemble gari 100 kwa mwaka unitag mm
View attachment 2986498
Body za kusukumwa na vitoroli kwenye banda la kuku sio? Ndo assembly line ya AVA? Sisi waswahili husema kutangulia sio kufika!!!!😃 😃
Key word U17 world Cup Qualifiers. 🤣 🤣 🤣Mara oooh, hakuna uwanja wa Kenya that is approved by FIFA. Ndio hao Harambee Starlets are going to play their World Cup Qualification match Ulinzi Stars.
ichoboy01 unalia ukiwa wapi?
View attachment 2986531
Endelea kujifurahisha😎😎Hatujaumia, tunawacheka tu vile you are late to the party. Hadi Uganda imewashinda😂😂😂
Utawezana na AVA?😂😂😂Body za kusukumwa na vitoroli sio? Ndo assembly line ya AVA? 😃 😃
For your information Hanspaul Buys those landcruisers from AVA alafu wanazifanyia tu modifications😂😂Body za kusukumwa na vitoroli kwenye banda la kuku sio? Ndo assembly line ya AVA? Sisi waswahili husema kutangulia sio kufika!!!!😃 😃
Workshop ya Hanspaul Arusha
![]()
![]()
hivyo ni vitu vya wheel alignment mzee wacha upumbavu!Utawezana na AVA?😂😂😂
Toyota Fortuner assembly line.
View attachment 2986538
View attachment 2986540
View attachment 2986542
View attachment 2986543
View attachment 2986546
View attachment 2986547