Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

WE FALA KWELI.
Embu kaa pembeni wacha niku ignore kabisa unanipotezea muda.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨ Nimepigilia msumari kwenye jicho 😁😁😁😁

Mimi ni Maji usiponinywa utanioga.

Tena acha kabisa maana utasababisha ionekane Magufuli hajafanya kazi Kwa sababu Samia Kwa miaka 3 ame double Kila kitu alichofanya Magufuli Kwa miaka 5 na vingine vipya.
 
Tatizo lenu nyinyi hamko systematic, maviwanja kila siku ni renovation tu na bado yanakosa ubora. Toeni pesa iteni mafundi wazuri njoeni hata Tanzania kuna mafundi wazuri wawafanyie renovation ya maana na sio hao mafundi jua kali wakikenya. Mm nikionaga mnafanya renovation ya kitu chochote alafu nikaona mafundi ni Wakenya huwa nacheka sn mana najua ni renovation ya kijua kali.
β€œMafundi wazuri wa Tanzania” can’t align a stadium.

If these are the Tanzanian β€œfundi” then we better look for South Sudanese.

IMG_0157.jpeg
 
Kenya is like Europe to Tanzania. This has been confirmed by this Tanzanian YouTuber.

IMG_0182.png
 
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ”¨ Nimepigilia msumari kwenye jicho 😁😁😁😁

Mimi ni Maji usiponinywa utanioga.

Tena acha kabisa maana utasababisha ionekane Magufuli hajafanya kazi Kwa sababu Samia Kwa miaka 3 ame double Kila kitu alichofanya Magufuli Kwa miaka 5 na vingine vipya.
Bro sina muda wa kubishana ujinga.
Jadili na watoto wenzako huu utoto,SAWA!?.
 
Kuna muda unatakiwa UPUNGUZE USENGE UNAKERA.
1)BRT kuelekea Gongo la mboto mradi umeanza toka 2022 mpaka leo hii barabara zimechimbwa gari haziendelei.Je huko sio kukwama!?
2)Acha Usenge KIGAMBONI KILA SIKU IENDAYO YA MUNGU UMEME UNAKATIKA na hapa umekatika usiku tumelala giza umerudi saa tano.HUO UZALISHAJI MWINGI UNATOKA WAPI!?
3)Zile zilikua kipindi cha kampeni siasa nyingi wala silaumu na sitamlaumu Magufuli hata kama hajatekeleza,ila Magufuli alijitahidi kutimiza yale aliyosema akiwa ofisini,mlisema February mgao wa umeme hautakuwepo mgao ukaenda mpaka April,mkasema mitambo inazalisha kwa wingi hivyo umeme hautakatika tena,ila mpaka sasa umeme umekatika countless times.Mlisema February SGR itaanza kazi mkavusha June sasa mnasema July,FAKE PROMISES DAILY.
4)Hivi una habari kuwa Tanzania imeshuka toka LMI kuwa LDC!?
Hivi unajua shilingi ni miongoni mwa pesa zenye thamani MBOVU NA NDOGO AFRICA.
5)Vipi kuhusu mfumuko wa bei hususan sukari?
6)Unaonekana bado kijana mdogo,nakupa homework tembelea TRA huu mfano napenda sana kuutolea nenda ukaone watu wanavyofanya madudu hapo TRA,nidhamu hakuna kabisa ya utendaji.
1.Kwa hiyo brt ni madarasa kwamba ndani ya mwaka mmja na nusu itakuwa imeisha si ndio? Kwa hiyo hizi mvua zilizoanza mwaka Jana mwezi wa 9 Hadi Leo hii unaweza Jenga Barabara? Ulienda shule kusomea ujinga?

2.Ni lini umeme umewahi acha kukatika? Kwani sababu za kukatika huzijui? Mara ngapi umeambiwa so long as miundombinu ni chakavu na mahitaji yanazidi kukua kukatika hamuwezi epukika Hadi hapo overhaul itakapokamilika.

3.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Utapeli mtupu,hakuna Rais aliyetekeleza Ilani Kwa Ukubwa kumzidi Samia ,uliza Wana ccm wasio na chuki binafsi.Taja Hadi ambazo Samia hajatekeleza.

4.Hujui uchumi wewe kima,unajua hata vigezo vya kuwa LDC au kuwa Lower middle income? Unajiabisha ,Tanzania haijawahi na kamwe haitakuja kutoka huko ila inaenda mbele maana per Capita inazidi kuongezeka.

5.Naongea na mbumbumbu wa Uchumi,tangu lini Tanzania kukawa na mfumuko wa bei? Item 1 unaweza sema Kuna mfumuko wa bei? Mwisho unajua kwamba aliyevuruga soko la Sukari alikuwa Magufuli na Kwa mara ya kwanza shortage na bei zilioanda akiwa Rais ndio hicho kinatesa Serikali Hadi Leo hii?

Mwisho Mama amekuja na ubunifu NRFA wataanza kununua na kutunza sukari hutosikia tena Hilo kutokea kuanzia next financial year.

6.Wanafanya madudu yet Bado Mapato yake double.Wakati hakuna madudu Kwa nini Mapato yalikuwa kiduchu? Yalienda wapi? Ndio maana Mwigulu Huwa anaulizia kama pesa zinaibiwa na maelfu ya miradi kilasekta wakati haziibiwi pesa mlikuwa mnazipeleka wapi?

Wajinga ndio waliwao ,wazee wa plea bargain 😁😁😁
20240504_114856.jpg
 
Pole sana kafuatilie historia ya Ethiopia vizuri utajua madudu ya huyo unayemsemea.
Pia una exposure ndogo sana na historia wewe.
Miaka hata ya nyuma wanawake walikua wakitawala ila hawakuonesha umahiri bali ni ubovu wa madaraka.
Mimi nilisha muweka kwenye ignore list tayari. Huyo jamaa ni mwezi mchanga. Inainekana ni mkenya lengo lake kututoa kwenye battle
 
Pale airport mwezi wa 3 huu air condition hazifanyi kazi and no body cares, kule juu departure wamenunua ma air condition ya chini wakati uwanja una air condition zake zile pipes za juu, ukiuliza unaambiwa eti hakuna fundi nchini wa kukarabati, sasa kama ni hivyo si wangeleta mafundi wa nje? Lkn wameenda kununua ma air condition ili mradi wapige tu, awamu hii ikiondoka alafu akaja rais mwenye uchungu atawafunga wengi sana haki ya mama.
Utakuta wameharibu makusudi kabisa ili wafanye hayo.

Nimeruka nayo anyway.



View: https://x.com/KipepeComrade/status/1786780711506112799
 
Huku ni kudhubutu kwa JPM kaka Sgr Nyerere dam,Jpm bridge,Magufuli mbezi ikulu Dom,uwanja wa ndege Dom serikali kuhamia Dom, Atcl,halafu kuna popoma anasema ni miradi ya show off hayo ni baadhi tu
Aloo yani sio poa aiseee, ukiambiwa hii ni Africa huwezi amini kabisa, watanzania tuna akili sn na uzalendo wa hali ya juu mnooo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom