Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acah kujilazimisha Rostan ni muiran! Hata hao waarabu na wahindi hapo watarudi kwao wamekuja kuchoza mali za mazuzu! Hamna anaetaka akae Tanzamavi
Kuna raia kibao asili ya Iran na Uarabuni na India wamefia Tanzania na wamezikwa Tanzania.
NAKUSIHI UJE DAR TEMBELEA MAKABURI YA KISUTU kuna makaburi mpaka ya WAHINDU NA MABUDHA KULE.
Kuna Temple ya wahindu barabara ya DIT bibi titi.
Ukienda Kilwa na Rufiji kuna waarabu wanajiita wandengereko na Wangindo na wapo vizazi na vizazi toka kipindi cha Kilwa ikiwa kama jiji lenye sarafu yake kabla ya kuja kwa Portuguese.
Na Tabora kuna waarabu wa Dubai kibao wanaojiita wanyamwezi wamezaana huko ikiwemo Marehemu babu yangu wanawaitaga waarabu wa Nzega.
Unazungumza ufala gani we jamaa!?
 
Asante kwa kutuonesha Barabara nje ya Lamu🤣🤣🤣🤣 eti witu to Lamu
Screenshots_2024-04-13-18-33-44.png
 
Hajulikani and that’s why no serious Kenyan is talking about him.
Mtu kama wewe utamjulia wapi DJ mkubwa kama huyo?? Unakaa kogorosho huko, unashindia chapo na maharage, ukibadili sana mutura!!!

Huna hela, tangu uzaliwe hata kilimani hujawahi fika unaona picha tu humu jamii forums.

Mtu kama huyo utamjulia wapi!?🤣🤣
Tafuta hela nyang'au wewe!!!
 
Back
Top Bottom