Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa is actually more developed than Dar if these sideshows are put aside
Mbsa.jpg
 
Sasa sisi tumekuwekea 153km of continuous dual carriageway wewe unajinu na picha ya single carriageway yenye inapatikana Kila mahali Kenya. Una akili timamu?
Nimereply hoja ya rural road sio number of lanes kasema rural Kenya ina best roads than Dar nikaweka road ya 1000km from Dar, hiyo alioonesha ni 100km from Nairobi, mngeleta roads za huko lokichokio na lodwa to counter the fact ukiondoa lower Kenya huko kwengine ni ushenzini
 
That’s an Iranian. Mbona mnalazimisha mtu awe mtanzania while in real sense is an Iranian?
ACha usenge wewe.
Rostam aliwahi kuwa mwanasiasa Tanzania kipindi cha Mkapa na Kikwete.
Hivi raia wa nje anaweza kuwa mwanasiasa taifa lingine!?
Tunatizama citizenship ya mtu,kuna citizenship by origin,registration,birth na marriage.
Rostam ni raia wa Tanzania kwa cifizenship by birth/registration.
We unabisha kama nani!?
Au raia wa nje anaweza kuwa mw
anasiasa nchi ya nje!?
 
Wameandika ati 4 Richest people in Kenya, mimi sijaona penye imeandikwa hao ni wakenya.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimereply hoja ya rural road sio number of lanes kasema rural Kenya ina best roads than Dar nikaweka road ya 1000km from Dar, hiyo alioonesha ni 100km from Nairobi, mngeleta roads za huko lokichokio na lodwa to counter the fact ukiondoa lower Kenya huko kwengine ni ushenzini
Umeinyeshwa dual carriageway on a rural road. Kwa hivo kama unapinga ungeleta dual carriageway on a rural road hapo Tanzania.
Secondly, unataka sisi kucounter Nini? Tumekupostia Barabara wewe ukaleta ushindani mwenyewe so ni wewe unafaa kucounter sio sisi. Sisi tumepost tu Barabara dual carriageway in the middle of a rural area. Tuonyeshe kitu kama hicho hapo bongo.
 
ACha usenge wewe.
Rostam aliwahi kuwa mwanasiasa Tanzania kipindi cha Mkapa na Kikwete.
Hivi raia wa nje anaweza kuwa mwanasiasa taifa lingine!?
Tunatizama citizenship ya mtu,kuna citizenship by origin,registration,birth na marriage.
Rostam ni raia wa Tanzania kwa cifizenship by birth/registration.
We unabisha kama nani!?
Au raia wa nje anaweza kuwa mw
anasiasa nchi ya nje!?
Unapoteza muda wako kubishana na popoma! 😂😂😂
 
ACha usenge wewe.
Rostam aliwahi kuwa mwanasiasa Tanzania kipindi cha Mkapa na Kikwete.
Hivi raia wa nje anaweza kuwa mwanasiasa taifa lingine!?
Tunatizama citizenship ya mtu,kuna citizenship by origin,registration,birth na marriage.
Rostam ni raia wa Tanzania kwa cifizenship by birth/registration.
We unabisha kama nani!?
Au raia wa nje anaweza kuwa mw
anasiasa nchi ya nje!?
Rostam is not African, Rostam is not a Tanzanian.
 
FAla kweli hili jamaa.
Ilhali hapo Kenya kuna wahindi na waarabu wana uraia wa Kenya.
Mombasa waarabu wa Oman kibao pale wana uraia wa Kenya na wanamiliki biashara nyingi tu Kenya.
Ni tabia za masikini na wapumbavu kubaguana wala usishangae. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom