Hii itaanza kazi 2026 ?
Naskia uhaba wa stima Iko kwa record sahiii,
Shida kama Ethiopia
Mbona nyie mnachukua mikopo ilhali shilingi yenu bado hafifu? Mnafanyia nini mikopo yenu?Shilling yenyewe inayotegemea mikopo ili ikae sawa π€£π€£π€£ baada ya 250b ksh haya mkopo mwengine huo 158b ksh na bado mutasema Tu na tutaelewana, nchi imeoza inanuka uvundo wakila aina
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1775140159429697563?t=Tb2RN5UaQUWZPF2Wo3juJA&s=19
View: https://twitter.com/Nicki445100291/status/1775417546344157270?t=RrM5dyA08FhOjrGWy0iO9Q&s=19
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Ww anafkiri tunajenga bwawa kubwa kama Hilo lenye thamani ya 3b USD bila transmission unatuona Sisi vichaa au?? Ikiwa kupeleka umeme vijijini Tanzania ndio inaongoza Africa na mwaka I vijiji vyote Tanzania nzima vitakua na umeme na hapo hapo utambue Tanzania ni kubwa mara mbili ya KenyaAta ifike 110%
Shida ya transmission haitaisha.
Giza mtakula bado unless mbadilishe hao mafisi wa ccm kama Senegal
Nchi Bure sana
As usual, always competing with Kenya. Ndio maana Google analytics zinasema Kenya is the most Googled country in Tanzania.
July ikifika hakikisha simu yako ina charge na ina internet bundles za kutosha bila kusahau uwe na ndoo ya lita 20 karibu ili usichafue hapo chini kwa machozi na kamasiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Hii itaanza kazi 2026 ?
Naskia uhaba wa stima Iko kwa record sahiii,
Shida kama Ebl thethiopia
Sisi tukichukua mikopo ni either ya elimu au maendeleo nyinyi VP Huko?π€£π€£π€£ Taking loan from Aisha to pay HamisiMbona nyie mnachukua mikopo ilhali shilingi yenu bado hafifu? Mnafanyia nini mikopo yenu?
Utawala wa uda umeleta unafuu gani huko unyang'auni?π...Giza mtakula bado unless mbadilishe hao mafisi wa ccm kama Senegal...
Nyie ni taifa lilofeli, mnakopa ili kulipa madeni πππ uchumi wenu umeshajiharishiaMbona nyie mnachukua mikopo ilhali shilingi yenu bado hafifu? Mnafanyia nini mikopo yenu?
Kwani Serikali ina visima vya Mafuta? Ndio maana wanajenga mapipa makubwa Ili tuwe na uwezo wa kuhimili Mabadiliko ya bei walau Kwa miezi 6ChoiceVariable vitu kama hvo sikuoni ukitujuulisha kwanini??ππππ
View: https://twitter.com/millardayo/status/1775395075150721082?t=2dbACCaY6uCAP9mB13qD3Q&s=19
Kwa hivo ya kulipa madeni inafanya shilingi ikue na ya maendeleo inafanya shilingi izorote ama unajaribu kusema nini wewe kijana wa chumba cha kunya?Sisi tukichukua mikopo ni either ya elimu au maendeleo nyinyi VP Huko?π€£π€£π€£ Taking loan from Aisha to pay Hamisi
Kenya is more than. The rest of east Africa combined.
Ila kwenye FDI hakuna wa kutukaribia hapa EACKenya is more than. The rest of east Africa combined.
Wewe ni punguani,Tanzania tuna visima vya Mafuta?Nchi hii ina viongozi vibaka
View: https://twitter.com/millardayo/status/1775395075150721082?t=X6Ju8TBMMvr-t9z4y8CowA&s=19
Kwenye nchi hii mafuta ina Kodi 22 mpaka REA ina Kodi kwenye mafuta, uwe unapost usiogope ππππππKwani Serikali ina visima vya Mafuta? Ndio maana wanajenga mapipa makubwa Ili tuwe na uwezo wa kuhimili Mabadiliko ya bei walau Kwa miezi 6