Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂😂 hapo jamaa kabakisha nini??

View attachment 2944248
Wakenya wana maisha magumu mno, kwa Afrika hii ukitoa wa Ethiopia wanafuatia wakenya, wana hali mbaya mnooo, nchi iko hovyo sana, kuna gape kubwa sana sana kati ya tajiri na maskini, no future in Kenya, tajiri huwa anabaki kuwa tajiri na maskini anabaki kuwa maskini na ndiyo maana nakupa homework chunguza nchi ambazo raia wake hawatulii nyumbani kama kenya na Ethiopia utagundua ndiyo failed state, hawa wakenya wa humu wanajua ukweli sema tunawafariji tu hapa. Mkenya akija Tanzania hataki kutoka kabisa lkn hakuna mtanzania anawaza kwenda kenya, wengi wao wanaishi kwenye ma slums hata hawa wa humu kama mitandao ingekuwa inasema 90% tusingekuwa nao humu.

Ukitaka kuamini nchi yao ni the failed state angalia miradi mikubwa, hakuna mradi mkubwa serikali yao ikatekeleza kwa pesa za ndani, hovyo sana hii nchi bora hata Ethiopia.
 
Ugali na sukari alibaki yeye na kipa akapiga mpira mbinguni Naskia mpaka Leo mpira wanausubiri haujatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ugali na sukari alibaki yeye na kipa akapiga mpira mbinguni Naskia mpaka Leo mpira wanausubiri haujatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msenge sana yule mtoto, ata kibu naye miyeyusho, kuna wachezaji pale stars wanatakiwa kutoka kama Himid mao ni mzee mnoo, ugali na sukari yuko vizuri ila ubovu wake ni international matches anakuwa hovyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…