Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unanikosoa.? 😂😂 Imagine mimi kukosolewa na wewe, natamani kungekua na option ya kuweka sauti humu ili kuanzia leo na kuendelea tusibishane na nyie tena kuhusu lugha.
Sasa unaandika kiingereza kibovu kuliko mtoto wa chekechea alafu bado unaongelea kubishana kuhusu lugha? Wabongo nao. Khaa! Eti ''I can use it whoever that I want.'' 😂 😂
 
Scroll page za nyuma kwa huu uzi ama ingia google.
Mwenzako alikula za kichwa alipoumbuliwa kwamba hiyo taarifa ilikua ni ya 2011 while sahii tupo 2024. sasa wewe unaeza mtetea ukaleta report ya hiv karibuni ikionyesha kwamba bajeti yetu inategemea msaada 40%.? Mana hii mada ilishafungwa ila wew umeirudisha tena, sasa isiwe maneno matupu leta ushahidi. Nasubiri 🙍
 
Mwenzako alikula za kichwa alipoumbuliwa kwamba hiyo taarifa ilikua ni ya 2011 while sahii tupo 2024. sasa wewe unaeza mtetea ukaleta report ya hiv karibuni ikionyesha kwamba bajeti yetu inategemeamsaada 40%.? Mana hii mada ilishafungwa ila wew umeirudisha tena, sasa isiwe maneno matupu leta ushahidi. Nasubiri 🙍
Mpaka utakapoleta data ya 2024 tutaendelea kutumia hio hio. Jukumu ni lako
 
Tanga🔥🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/C43BWLPo7h5/?igsh=NjZiOXZqd2F1amp5
360806940.jpg
-2042763263.jpg
1344130569.jpg
-1937129243.jpg
1728555196.jpg
-1243818629.jpg
-1799120596.jpg
-1001593075.jpg
 
Back
Top Bottom