Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Labda iwe ya mama Ngina maana tycoon wote Kenya ni wanasiasa ndio maana wamewadumaza akili zenu mutawaliwe mpaka siku dunia itasimama🤣🤣🤣🤣
1711135543533.png
 
Size ya uchumi wa enzi zile na sasa ni tofauti. Trillion moja Nyerere sio trillion moja ya sasa!! Ukubwa wa uchumi wa 1965 sio sawa na leo.

Mama kaingia madarakani ukubwa wa uchumi wetu no $67B na sasa ni $85B

Usiogope kabisa. Mambo bado shwari
Sio kweli bro, kukopa 30 trillion in 3yrs aloo hebu tuacheni utani wazee kwa miradi gani ya 30 trillion kwenye nchi hii in 3yrs ??
 
Hata iwe 800km from CBD bado hiyo itabaki kuwa kibanda.
We taka unajua ata kujenga wewe au unaongea tu kama jibwa koko pori ase..
also kenyans ata umwachie pagale alipandishe awezi coz wamezoea kuishi kwenye vijumba vya wadozi................
 
Wewe unajua penye kwenu iko? Do you know your country?
🤣🤣🤣🤣🤣 Tena ni tajiri wa 1.8b USD haya tufanye ni mkenya are u happy now

Wale black Americans sio watu wa America au wale wahindi wa America sio raia wa kule ni sawa ?? Acha Wivu wakishoga kondoo ww


Au hawa wahindi sio wakenya sindio matajiri zenu 🤣🤣🤣🤣🤣
images - 2024-03-22T223526.407.jpeg
 
Is Gujarat in Tanzania?

Baba wa Dweji amezaliwa na akakulia India. Amekuja Tanzania akiwa mkubwa so Dweji is an Indian by blood, origin and parents.
Na hawa matajiri sio wakenya walioshika uchumi wenu 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇
images - 2024-03-22T223526.407.jpeg











Haya read again plz 🤣🤣🤣👇👇👇
Screenshots_2024-03-22-22-29-53.png
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Tena ni tajiri wa 1.8b USD haya tufanye ni mkenya are u happy now

Wale black Americans sio watu wa America au wale wahindi wa America sio raia wa kule ni sawa ?? Acha Wivu wakishoga kondoo ww


Au hawa wahindi sio wakenya sindio matajiri zenu 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2942052
So we don't force foreigners to be Kenyans. Actually in this photo I have only heard of Uhuru Kenyatta.

Sisi we don't worship foreigners and force them to be Kenyans.

Also do you know that top 20 richest people in Tanzania are all foreigners?
 
Back
Top Bottom