Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_5135.jpeg

IMG_5134.jpeg
 
Hapo sio mjini kaka blaza. Hapo ni kilimani.

Kwa kukujibu tu, naomba unuambie hizi zenu zinafanya nini mjiniView attachment 2937410
Picha ya mwaka 2006 just imagine 🤣🤣🤣
Hzo hiace Sisi tulishasahau over 18yrs now

 
Uko na obsession na mama ngina au? Anakupa sleepless nights? Mbona ukiumwa lazima umwite jina?? 😂😂😂View attachment 2937418View attachment 2937411View attachment 2937419
Uko na obsession na mama ngina au? Anakupa sleepless nights? Mbona ukiumwa lazima umwite jina?? 😂😂😂View attachment 2937418View attachment 2937411View attachment 2937419
Mama Ngina haha kwamba ananinyima usingizi nashangaa mulivo wendawazimu nimekuuliza swali dogo wakimaliza ku upgrade hua wanabadilisha na plate no au??🤣🤣
 
Naziona Simba na yanga hapo je iko wapi Gor mahia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Raha Sana

Tanzania ndio Taifa la nne kuingiza team mbili robo fainali CAF champion
1. Misri ( Al ahly & zamalek )
2. Congo ( TP mazembe & vita )
3. Morocco ( wydad & raja )
4. Tanzania ( yanga & Simba )

FB_IMG_1710694534360.jpg
 
Back
Top Bottom