Hata maana ya mamlaka hujui.Hawana 3:5 unakuwaje na mamlaka! Mamkaka ni tofauti na ushauri na uangslizi! Hivi vitu navijua na ndomaana nasisitiza!
Ninapotoa uamuzi juu ya kitu fulani na ninapokua na mkono wa uendeshaji juu ya kitu ni sawa na mamlaka.
Rudi shule ukasome.
Na mamlaka yanatofautiana kulingana na utendaji.
Kisa CEO ndio top inamaana Manager hana mamlaka ofisini??
Jibu no anayo mamlaka kulingana na cheo na mgawanyo wake wa majukumu.
Halafu unajiita msomi wewe jinga kabisa.