Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Es Salaam Maritime Institute

1709882990564.png


1709883020278.png


1709883038228.png
 
Wapo ndugu yangu. Kuwaweka public kwa sasa Chawa ni wengi sana na wanapiga kelele mno kuliko utendaji kazi.
Naelewa..
Unajuwa haya mambo ya nepotism, yanaleta aina fulani ya uongozi wa nchi ambao unakuwa na kasoro fulani hivi, ni kama familia za kifalme, ambapo wanaoleana sana mpaka wanakuwa mazezeta. Nepotism haileti damu na mawazo mapya, ni watu wale wale, waliosoma shule zile zile, wakikutana wanaongea mambo yale yale.
 
Naelewa..
Unajuwa haya mambo ya nepotism, yanaleta aina fulani ya uongozi wa nchi ambao unakuwa na kasoro fulani hivi, ni kama familia za kifalme, ambapo wanoleana sana mpaka wanakuwa mazezeta. Nepotism haileti damu na mawazo mapya, ni watu wale wale, waliosoma shule zile zile, wakikutana wanaongea mambo yale yale.
Hii tayari imeshaonekana na madhara yake tumeyaona. Kujisahihisha ndio jadi yetu.
Rais Samia aliichukua nchi katika kipindi kigumu sana.
Yupo tayari kutengeneza katiba mpya. Lakini baada ya uchaguzi wa 2025

Unaweza kufuatilia mweneno wa haya yanayoendelea kupitia

Na kama unajua kusoma mambo utaelewa
 
Baada ya week mbili tutaleta design na maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa Dodoma.

Tutawaletea proposal ya mwonekano mpya wa Uwanja wa Kirumba Mwanza.

Kaeni mkao wa kula.
Hivi viwanja kama serikali ingetoa pesa kidogo kuviboresha kama walivyotoa pesa kujenga zile ofisi za muda za serikali Dodoma, ingekuwa poa sana. Baadhi ya hivi viwanja vingeweza kujiendesha vyenyewe, maana young population inayopenda mpira au matamasha ya mziki ipo.
 
Hivi viwanja kama serikali ingetoa pesa kidogo kuviboresha kama walivyotoa pesa kujenga zile ofisi za muda za serikali Dodoma, ingekuwa poa sana. Baadhi ya hivi viwanja vingeweza kujiendesha vyenyewe, maana young population inayopenda mpira au matamasha ya mziki ipo.
Ndio kabisa. Tumeona mfano kwenye kiwanja cha Amaan Zanzibar. Wamefanya renovation na kimekuwa poa sana.
 
Back
Top Bottom