Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We kunywa hio haituhusu ila kutuambia una miliki 5 acres kwenye mashamba ya settlers kericho ni sawa na kuvuliwa nguo sokoni asbh saa nne😀😀
Kericho ni county na ina wakaaji 1 million....100000 wanaishi mjini na 70000 wako kwa farms...the rest wana mashamba yao ni wakulima wa chai na maziwa ndio hio ngombe na chai on the background
c1bedce849d340fb771e87be3d01255e.jpg
71c2299ecd7a7eda3a2ea1da2c62fcff.jpg

9d2dd952dcbd9e9e418b336bb445037f.jpg
 
Kericho ni county na ina wakaaji 1 million....100000 wanaishi mjini na 70000 wako kwa farms...the rest wana mashamba yao ni wakulima wa chai na maziwa ndio hio ngombe na chai on the background
c1bedce849d340fb771e87be3d01255e.jpg
71c2299ecd7a7eda3a2ea1da2c62fcff.jpg

9d2dd952dcbd9e9e418b336bb445037f.jpg
Kericho unataka ipambane na Moshi?
 
Kenya is the leading milk producer in Africa...uasin gishu(eldoret),Nakuru,Nyeri,Muranga,Nyandarua,bomet,kericho,nandi are some of highest producers of milk
Unaongea sana bila hata vitendo. everyday leading leading. Huo ni utoto.
 
Annael, kisii town pictures ndo haya yaja
 

Attachments

  • 5962.jpg
    5962.jpg
    34.4 KB · Views: 65
Kericho ni county na ina wakaaji 1 million....100000 wanaishi mjini na 70000 wako kwa farms...the rest wana mashamba yao ni wakulima wa chai na maziwa ndio hio ngombe na chai on the background
c1bedce849d340fb771e87be3d01255e.jpg
71c2299ecd7a7eda3a2ea1da2c62fcff.jpg

9d2dd952dcbd9e9e418b336bb445037f.jpg
Usinidanganye mm kua unamiliki 5 acres kwenye mashamba ya settlers kericho 😀😀
 
Nakupea facts ukitaka link itisha si picha za lake then unasema kigoma give me a modern town like this
713f9c9e81bc9b860e8c869349939257.jpg

You can see tea and a beautiful highway
ccca1ff45289cc0bd05442216711d105.jpg
kha hiyo ndiyo modern town? Kwikwikwi Town gani hiyo yenye nyumba moja tu?
 
Ila sio aibu kwa slums za nairobi😀😀😀

kila mtu hapa jf anajua dar is SLUM. ndo maaba mkuulizwa mlete aerial photos za dar mnatapatapa. kama unazo aerial photos za wakazi wa dar tafadhali lete hapa tuone. hizo za street view tushazichoka.
 
kila mtu hapa jf anajua dar is SLUM. ndo maaba mkuulizwa mlete aerial photos za dar mnatapatapa. kama unazo aerial photos za wakazi wa dar tafadhali lete hapa tuone. hizo za street view tushazichoka.
Lakini cha kushangaza dunia haijui ila inaitambua kibera world wide😀😀😀😀
IMG_1126.jpg
 
Back
Top Bottom