game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
Umemjibu vizuri huyo Mkora,Kibera ndio sehemu wanaishi wakenya wengi sana 2.5 million people, not a joke😀😀😀😀 robo tatu ya nairobi nzima iko kibera slum
Kibera wanakaa 60% ya wakazi wa Nairobi.
Ni lazima tuoneshe sehemu inayokaliwa na wakazi wengi zaidi Nairobi.

