Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kakimbia mada. 🤣🤣
Mada gani? I started the discussion of highrise construction. Something which is not happening in Tanzania. Kama nadanganya ebu nionyeshe any building of 20+ plus under construction in entire Tanzania.
 
This is Mombasa. It's more vibrant when it comes to construction of buildings over 20 floors than entire Tanzania.

Ae.jpg
 
Lakini waliotuletea democracy wana Marais na wanasiasa wengine ambao ni wafanya biashara wakubwa sana na waliperform vizuri kwenye roles zao both kama wanasiasa na wafanya biashara, marekani Marais kama Donald Trump, George W., George H.W. , Jimmy Carter, Harry Truman, Abraham Lincoln, Andrew Johnson, Warren Harding etc walikua ni wafanyabiashara wakubwa lakini huoni katika history wakihusishwa na ubadhirifu mkubwa kiasi cha kufilisi office zao kwaajili ya biashara zao due to conflicts of interests.

Kikubwa ni kuwekwa tu kwa mazingira mazuri yatakayofanikisha roles zote ziende simultaneously nonconflicted sababu bado tu hawataacha kufanya biashara regardless of whatever declarations sasa si bora tu iwe formalized in a positive manner!

Kama tuliweza kucopy democracy kwao tucopy pia how they made that possible!
Mfano ulioutoa hauendani sana na nchi yetu kwasababu Marekani ni corporation, kama inavyotamkwa kwenye title 28 U.S. Code § 3002 (15).

Hata hivyo, tatizo la kuruhusu wafanyabiashara kuwa wanasiasa kunaingilia moja kwa moja shughuli za maendeleo Marekani. Kuna watu wanaoitwa lobbyist, ambao wapo kihalali kabisa kwaajili ya kutoa rushwa. Kazi yao ni kuhonga wanasiasa ili waunde sheria za kunufaisha makampuni wanayoyawakilisha. Huu mfumo wa ku lobby hauna checks and balances.
 
Westgate is going up in Westlands.

Actually Westlands has more over 20 floors building under construction that entire Tanzania.
IMG_6660.jpeg
 
Mada gani? I started the discussion of highrise construction. Something which is not happening in Tanzania. Kama nadanganya ebu nionyeshe any building of 20+ plus under construction in entire Tanzania.
Wewe kima unachanganyikiwa au ni upumbavu tu.? 🤣🤣🤣 These twin buildings are of over 30 floors under construction currently, 37 floors and 33 floors 👇
depositphotos_592627326-stock-video-dar-salaam-tanzania-june-2022.jpg
unaizia over 20 floors 🤣🤣🤣🤣
 
wacheni kuharibu brand za watu na chassis za Isuzu!
Hizo ni brands za Kenya idiot. If you look at this picture, one side is written EMIRATA, that's the name of the body. One the other side it's written MF1246. In the middle the a logo for Master.

MF1246 means
M -Master
F - Fabricator
12 -12 meters in size
46 - It carries 46 passengers.

These are informations you won't find in any other body builder except Master.

Ukiskia a bus body known as Emirata and it was not built by Master or Master didn't give permission for other body builders to copy it then come and argue with me.
1705070991680.jpg
 
Wewe kima unachanganyikiwa au ni upumbavu tu.? 🤣🤣🤣 These twin buildings are of over 30 floors under construction currently, 37 floors and 33 floors 👇View attachment 2869906unaizia over 20 floors 🤣🤣🤣🤣
I wanted you to post this building. Do you know when the construction of this building started? In 2013. Yani gorofa Moja inawachukua 11 years to complete 😂😂😂. Again it's 35 floors of 133 meters and 33 floors of 118 meters. Even if we start talking about over 30 floors, do you know the number in Nairobi alone? Na zote huisha within 3 yrs of construction others 1 yr, sio 11 years like that Mzizima towers.

If I say Tanzanians are lazy mnaniona vibaya.
 
I wanted you to post this building. Do you know when the construction of this building started? In 2013. Yani gorofa Moja inawachukua 11 years to complete 😂😂😂. Again it's 35 floors of 133 meters and 33 floors of 118 meters. Even if we start talking about over 30 floors, do you know the number in Nairobi alone? Na zote huisha within 3 yrs of construction others 1 yr, sio 11 years like that Mzizima towers.

If I say Tanzanians are lazy mnaniona vibaya.
Ukionionyesha project yoyote ambayo ni government owned imefanywa na kunyans natoka jf forever.. 🤣🤣 we subiria mchina aje awekeze hapo, your government can't even pay salaries.. hizo balls za kutuita sisi ni lazy unatoa wapi.? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom