Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
umejibu swali tayari...
blah blah blah...save your stupid excuses pal...you think there are no cheap open air markets in Nairobi? I'll give you one example, Eastleigh Nairobi ni kama tu kariakoo but the malls still get businessUnajua point ni kwamba shopping in malls sio kitu cha kujivunia sana Wa Tz ..cause vitu hivyo hivyo hupatikana at a cheaper price kwenye other stores ..than malls ..kwahyo shopping culture i dont think ina reflect sana uchumi wa nchi husika ..cause inategemea na culture ..
China wana mall moja kubwa sana ..nmesahau jina ina hadi leo ni ghost malls yan ni kama 10% maduka 90%empty stores ..does tht mean wachina hawana hela ya kufungua maduka kwenye mall hizo..
Alfu cha pili watu wengi hufikiria uchumi wa nchi unapimwa kwa Tall towers ..nawaonea huruma watu wenye mtazamo huu ..cause ukiangalia the tallest tower in europe iko london na ina 300m only ..ila angalia uchumi wa nchi za europe ..kwahyo Tower cio kitu cha kushangilia sana Nchi ikijenga ..tower wakat wananchi wao wengne wanashndwa kupata 1usd per day
blah blah blah...save your excuses...you think there are no cheap open air markets in Nairobi? I'll give you on example, Eastleigh Nairobi ni kama tu kariakoo


..mm nmesema hatuna culture hyo ..nyie mmetawalia na mkaadapt western culture ..na sio kwamba cc hatuna malls piayou are trying to explain yourself ati Tz hamna malls kubwa kama Two rives eti sababu Tanzanians have a culture of buying cheap things in Kariakoo...thats an excuse my friend...ila naelewa kiingereza ndio shida pole😀😀...pengine hilo neno hata ulielewi jinsi wewe ulivyo mbongo..Kwan nani kasema ni excuse..mm nmesema hatuna culture hyo ..nyie mmetawalia na mkaadapt western culture ..na sio kwamba cc hatuna malls pia
Nimeona na ile biggest cement industry hapo inayojengwa tanga itakua kubwa mara mbili ya dangote
ubaya wako unaongea mambo huyajuiMy friend this is just a bridge like mkapa bridge
![]()
![]()
Weka picha za ujenzi zinazo reflect na hzo nyumba unafkiri nani ataamini kwa picha hzo😀😀😀 picha ya ukuta nani atakuamini au kama ni render ijulikane moja
I'd like to request for the link stating that it'll have an over 500m long overpassSawasawa...
Ubungo ni 3 level intechange na ni refu zaidi ya 500m sidhan kama bro iyo ni tumepigwa
you are trying to explain yourself ati Tz hamna malls kubwa kama Two rives eti sababu Tanzanians have a culture of buying cheap things in Kariakoo...thats an excuse my friend...ila naelewa kiingereza ndio shida pole😀😀...pengine hilo neno hata ulielewi jinsi wewe ulivyo mbongo..
sawa...😀😀Weka picha za ujenzi zinazo reflect na hzo nyumba unafkiri nani ataamini kwa picha hzo😀😀😀 picha ya ukuta nani atakuamini au kama ni render ijulikane moja
Why are you mad, try to understand, nimekwambia kwa DAR tuna Morocco square, Itafunction just fine with us, Na nasisitiza kila kitu mlichonacho na sisi tunacho, ie hiyo CitY lodge. tena zote bado U/C. we umekariri kucompare, nacare about function au performance ya kitu. Ukubwa wa pua sio wingi wa Kamasi😀😀😀😀😀😀😀😀tumia akili ww...ati Two Rivers unafananisha na nini?