Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubungo fly over inatugharimu ksh 9.4bn
honestly mnipe any of ur flyover ambayo ni ya thaman zaidi ya hiyo? Kama Hamna muache kelele Za kizamani

Tazara inatugharimu ksh bn 5 sasa kama nyie mko na flyover 60 za million 50 each ndio kusema mnaflyover eti muache uzoba
NA HIVYO NDIO MNAKULIWA PESA ZENU...
Outer ring road 15 kilometres ilijengwa na ksh 8.1 billion
9a51973abfd126c9d97890182c99e432.jpg

25905012a622ef0a3bcc54612c337a4b.jpg
 
So wataka kusema yote Ni overpass for 15 km au iyo ni sehemu ya mradi?
the thing is, Kenya used kes 8bn to build a 15 kilometre highway which is 8 an lane,and elevated while you are using more for just a mere 4 lane flyover not stretching more than 500 metres. dont you see that as a joke?
 
the thing is, Kenya used kes 8bn to build a 15 kilometre highway which is 8 an lane,and elevated while you are using more for just a mere 4 lane flyover not stretching more than 500 metres. dont you see that as a joke?

Correction,3rd level is 6lanes of abt 1km overpass,2nd level will be a bit short but of abt 500M and I think is 4 lanes...rembember Morogoro road has BRT lanes on ground.. and before completion of interchange the super duper highway of dar to chalinze 100 km 6lanes will follow
 
Sawasawa...
Ubungo ni 3 level intechange na ni refu zaidi ya 500m sidhan kama bro iyo ni tumepigwa
remember there are overpasses,underpasses,interchanges,tunnels and bridges the entire stretch of the highway.
9638bda6553059e82756da3d07381b11.jpg

3a4e868b73d637f202eb4ab3e9d90245.jpg

35758580795_e5bf5ee1d4_b.jpg

bine8wnsnqfexs0yza59a50025627ca.jpg
 
Correction,3rd level is 6lanes of abt 1km overpass,2nd level will be a bit short but of abt 500M and I think is 4 lanes...rembember Morogoro road has BRT lanes on ground.. and before completion of interchange the super duper highway of dar to chalinze 100 km 6lanes will follow
KENHA is also building a 480 kilometre, 6-lane expressway from nairobi to mombasa
 
tumia akili ww...ati Two Rivers unafananisha na nini?

Kwan two rivers ina nini kipya ambacho malls za Tz hazina ..ukiachana na dancing fountain ..two tivers is just 62k sqm mall which is twice size of mlimani ..while most of malls in Dar kama, Mkuki House is 35k sqm na ina kila aina ya kitu utachohitaji ..shops,hypermarket,cinemas,bowling ,ice skating, game acrade,restaurants , ..Mlimani 30ksqm ina kila kitu ..na bado ina phase 4 expansion to 50k sqm na kuna malls kibao cjazitaja..City Mall ,Quality Centre ,Aura Mall ,Slipway,Shoppers, Mayfair ,JM, DFM, Shamo World ,..etc
 
Kwan two rivers ina nini kipya ambacho malls za Tz hazina ..ukiachana na dancing fountain ..two tivers is just 62k sqm mall which is twice size of mlimani ..while most of malls in Dar kama, Mkuki House is 35k sqm na ina kila aina ya kitu utachohitaji ..shops,hypermarket,cinemas,bowling ,ice skating, game acrade,restaurants , ..Mlimani 30ksqm ina kila kitu ..na bado ina phase 4 expansion to 50k sqm na kuna malls kibao cjazitaja..City Mall ,Quality Centre ,Aura Mall ,Slipway,Shoppers, Mayfair ,JM, DFM, Shamo World ,..etc
umeuliza swali na ukajijibu tayari...i will summarize...size (Largest mall in East and Central africa), fountain, it has a manmade lake etc
 
Back
Top Bottom