Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utasikia kondoo mmoja akisema wametuacha mbali kweli technology. 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Hii taarifa nilikua sijaiona. Jamaa kumbe ndio wanataka wafungue portal ya kuangalia matokeo mwaka kesho.? 🤣🤣🤣🤣🤣. Hii tumetumia Tz mbona ni muda mrefu sana. Mdogo angu nilimuangalizia tokeo lake la kidato cha nne 2015 . NairobiWalker nyie mbwa mpo nyuma yetu in so many ways.
 
The buildings r ugly! Pretty sure no elevators will be provided!
So You've changed gear from "wapi madirisha?" and you are now talking about muonekano and elevators?😅😆

Well, well, bongolala. You do have a fighting spirit; but one driven by stupid hatred and jealousy. Ile tunaita wivu wa kike. You never get tired of hating!!

You talking about elevators wakati Kisumu ilikuwa nazo long before your village "city" Mbeya knew what a lift/elevator is
images - 2023-12-07T130349.856.jpeg


Talking of ugliness, this is the true definition and eptitome of ugliness. Nothing can get uglier than these dreamhouses spread all over Dar
images - 2023-11-08T181305.595.jpeg
images - 2023-11-08T180712.916.jpeg
images - 2023-11-08T180341.867.jpeg
images - 2023-11-08T180516.634.jpeg
 
Utakunya kwa wivu, baada ya kuona madai yako ni upuuzi mtupu umekimbilia kusema zingine sio traffic lights 🤣🤣🤣🤣. Wewe ni mpumbavu. Sina muda wa ku zoom mimi your claims can't change nothing.. traffic lights kwa Mwanza zipo karibu maeneo yote muhimu ya katikati ya mji na nje pia.. I've just decided to show you kwamba wewe ni kima unavyonaia eti Mwanza hakuna traffic lights eti kwasababu Kisumu ndio imepata moja this year. 🤣🤣🤣 Mimi nilifika Mwanza my first time 2018 na nilizikuta mingi tu.
Ati Kisumu umepata this year?😂😂
 
🤣🤣🤣🤣 Hii taarifa nilikua sijaiona. Jamaa kumbe ndio wanataka wafungue portal ya kuangalia matokeo mwaka kesho.? 🤣🤣🤣🤣🤣. Hii tumetumia Tz mbona ni muda mrefu sana. Mdogo angu nilimuangalizia tokeo lake la kidato cha nne 2015 . NairobiWalker nyie mbwa mpo nyuma yetu in so many ways.
Kidato cha nne umeenda mbali sana.
Kuanzia darasa la nne yaani standard four matokeo ni online, tulisha achana na mambo ya kubandika kwenye korido. 😂😂😂
 
Benchmarking for what?
Na wako na Yao inafanya KAZI since 2016?
Ama yenu Iko na traffic ya maana mnabeba tonnes of cargo plus million's of Passengers tayari
Uwende ukawaulize wao kwnn wamekuja kujifunza huku wkt wana yakwao inafanya kazi, ukimaliza kuwauliza wa Ethiopia uende ukawaulize na CAF kwnn nchi nyingi za Afrika mkiwemo nyie mmechagua kutumia viwanja vyetu vya mpira wakati mna vyenu.
 
Hizi picha nilibahatika kupiga mwaka jana kwenye maeneo kadhaa ya jiji la Mwanza, wala sikua najua kama kuna siku nyie wapumbavu mtauliza kuhusu traffic lights za Mwanza humu ndani, luckly I did.. heb fumbua macho we kima 👇View attachment 2835492nyingine👇View attachment 2835494tena👇View attachment 2835495ingine👇View attachment 2835496nyingine👇View attachment 2835497View attachment 2835499hiki ni kitu cha kawaida huko Mwanza traffic lights zipo kaziru kila sehemu yenye msongamano.
Barabara juakali tupu.
Inakaa ushago.
Zero traffic too.
 
Back
Top Bottom