Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

These buses more ugly than monkeys' face. Let's do comparison again πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chinese box

1700894274283.png


Kenyan bus.
1700421161946.jpg
 
Maintainance how? Mlango unafunguka kama wa nyumba? Finish ya ndani wanatumia vitambaa vya sofa, body za vyuma vya ujenzi, yaan square pipes nk (muulize ahmed baada ya ajali waliona nn), kuna miaka tanzania tulipambana sana na bus zenye chasis za maroli hizo zote zina chasis za roli na kwetu huwezi pata usajili. Ndani zina siti za ajabu ajabu, kuna zile zenye body pana kuliko upana wa tairi za mbele, muulize raqeeb na gari zake sasa hivi zimebadilishwa route zinaingia vijijini huko sababu route za mikoa haziwezi tena kukimbizana na mashine za kisasa.
Mkuu inaonesha wewe ni expert kwenye hii idara ya mabasi.
 
Mkuu inaonesha wewe ni expert kwenye hii idara ya mabasi.
Kama huyo ndio expert wenu then Tanzanians have a long way to goπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. The guy mwenye hata hajui tofauti ya bus and lorry chassis? Mwenye hajui hata all buses in the world are made using square pipes?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yani umetafuta picha za this year zikashinda?πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚ Again Nyamira has so many buses kuliko any bus company in Tz.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2824302
Yani nimecheka sana tena sana na leo ndio nimeamini munasafari ndefu sana kufika tanzania ilipofika leo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kama unazijua then you know that they have more buses than any bus company in Tz, ama nadanganya?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani nibora hata usingeitaja manake umenikumbusha nikacheka sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hamuwez shindana na tanzania kwenye bus tena sio bus tu zenye ubora wa hali ya juu kabisa hio sahau
 
Yani nimecheka sana tena sana na leo ndio nimeamini munasafari ndefu sana kufika tanzania ilipofika leo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Tanzania ndio ina safari ndefu kufikia Kenya. Hakuna kitu mwenye anaimport fake buses from China will tell meπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yani nibora hata usingeitaja manake umenikumbusha nikacheka sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Cheka zaidi. You asked for companies with more fleet and Nyamira is there. Are you aware of the number of buses they have?
 
So fuselage ndio itafundiaha watu kua marubani???πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… jibu swali
Teaching start with the basic, everything starts from basic. Even professional pilots started with grounded planes ndio wakapromote to aircraft and finally to airplane. But I don't expect you to know such since you didn't step in any classroom.
 
Back
Top Bottom