Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Badala ya kuongeza wataalamu na ufanisi kwenye hospitali zetu kama alivyofanya Magu, wao wanaimport hospitali za India, hizi ndo akili kisoda za mama Abduli.
Wewe hakuna Rais aliyeongeza hicho unachoita utaalamu kumzidi Samia ndio maana Leo hakuna Cha Rufaa za Nje ya Nchi.Badala ya kuongeza utaalamu na kuongeza ufanisi kama alivyofanya Magu, wanaleta hosptali ya India, hizi ni akili kisoda za mama Abduli.
Wewe hakuna Rais aliyeongeza hicho unachoita utaalamu kumzidi Samia ndio maana Leo hakuna Cha Rufaa za Nje ya Nchi.
Lengo la Tanzania ni kuwa na medical Tourism hub ya Afrika hivyo private sector sanjali na Public hospital zinakwenda Kwa pamoja.
View: https://www.instagram.com/p/CyS0uT3KAj7/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Unataka kujua? Soma hii hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/CyS3DGSKgWm/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Vilinunuliwa ila sio Kwa wingi kama awamu ya 6.Kwamba umesahau.pesa za covid zilivyoleta Mageuzi Nchi hii? CT Scan Mikoa yote,MRI Rufaa zote,Wilaya zote Kuna X rays na full equiped emergency buildings.Mara hii umesahau vifaa tiba vilivyonunuliwa awamu ya 5? Tulishafanya upasuaji wa moyo, kubadilishwa figo, watu waliacha kwenda India kufanyiwa upasuaji, si sisi tuu hadi majirani zetu, ya nini kuileta hiyo Apolo kama siyo ulimbukeni?
Kwahiyo investments za private sector zikataliwe?Mara hii umesahau vifaa tiba vilivyonunuliwa awamu ya 5 pamoja na kuongezwa kwa ujuzi wa kiganga? Tulishafanya upasuaji wa moyo, kubadilishwa figo, watu waliacha kwenda India kufanyiwa upasuaji (si sisi tuu hadi majirani zetu), ya nini kuileta hiyo Apolo kama siyo ulimbukeni?
Pesa za Covid zenye masharti ya kuchanja chanjo zinazoleta turbo cancer na myocarditis? Kama walikuwa na nia njema, kwa nini walilazimisha watu wa saini kutoishtaki serikali endapo watapata madhara?Vilinunuliwa ila sio Kwa wingi kama awamu ya 6.Kwamba umesahau.pesa za covid zilivyoleta Mageuzi Nchi hii? CT
Hizo hizo Zenye masharti ndio zimeleta Mageuzi makubwa kwenye sekta ya Afya.Pesa za Covid zenye masharti ya kuchanja chanjo zinazoleta turbo cancer na myocarditis? Kama walikuwa na nia njema, kwa nini walilazimisha watu wa saini kutoishtaki serikali endapo watapata madhara?
Kwa nini hawakufanya hiyo investment wakati ule wabongo kibao walikuwa wanakwenda India?Kwahiyo investments za private sector zikataliwe?
Hizo hizo Zenye masharti ndio zimeleta Mageuzi makubwa kwenye sekta ya Afya.
Majengo kama haya yamejengwa Nchi nzima hospital zote za Mkoa,Wilaya na Baadhi ya Vituo vya Afya na yote yaba vifaa vya Kisasa kabisa Kwa Ajili ya Huduma za dharura.
View: https://twitter.com/nasra_uchebe/status/1712031458452238841?t=SdyFcf_mzo0mnLK1ipQ53A&s=19
Washabiki Mwendazake mna matatizo makubwa sana,ukiacha kwamba hakuna mradi mliomaliza Samia ndio katoa pesa nyingi kuliko miradi yote mliyoanzisha.Hakuna cha ajabu hapo, tulisha jenga hospitali kubwa tuu kama ile ya Mtwara bila ya hizo pesa za masharti ya kukubali watu wetu wapate turbo cancer.
Weka na comparison ya bus stations na airports tucheke kidogoCompare and Contrast.
BRT Kenya
View attachment 2779121
Vs BRT Tanzania 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2779123
Nothing works in Kunyaland 😁Compare and Contrast.
Jomo Kenyatta International airport.
View attachment 2779165View attachment 2779170
Vs Julius Nyerere International airport 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2779172View attachment 2779174View attachment 2779175
mbona kumekaa shule?King and Queen of England will spend their time here in Nairobi
View attachment 2779523View attachment 2779524
wewe inakusu nn kuhusu business decision zao kama wameona wagonjwa wamepungua kwavile kuna gharama kuwafuata India na kuamua uafuata kwa kufungua branch nchini?Kwa nini hawakufanya hiyo investment wakati ule wabongo kibao walikuwa wanakwenda India?
I saved this for future useSikiliza nikwambie, hamtoandaa AFCON.
Kenya Olympic delegation keeps expanding… we might set an African record in Paris…. Meanwhile I maintain my bet…. Bongo will have 10 or less delegates total…. 🤣🤣😄😄🤣🤣🤣🤣They qualified for the Olympics. Kenya Rugby Women's team
View attachment 2779525View attachment 2779526View attachment 2779527
Best 007 low IQ will report you to his CCM masters… how dare you raise that question…🤣🤣🤣Mkifanikiwa kujenga huu uwanja wa 60,000, nawapa hongera sana.
Huku bongo, kwenye mji mkuu Dodoma; katikati ya nchi, wapuuzi badala ya kujenga uwanja wa atleast 60k wanajenga wa 30k 🤮