tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Nyie kuna picha ya ajbu mliowah tuma humu? Ndio kusema kila kitu ni cha kawaida basipicha tumeziona pa Kawaida sana......mengine hadithi za vijiweni
Nyie kuna picha ya ajbu mliowah tuma humu? Ndio kusema kila kitu ni cha kawaida basipicha tumeziona pa Kawaida sana......mengine hadithi za vijiweni
hahaha maamuzi ni machoni pakoNyie kuna picha ya ajbu mliowah tuma humu? Ndio kusema kila kitu ni cha kawaida basi
Hamna kitu ch ajabu ndiohahaha maamuzi ni machoni pako
hoja yako hiyo.....hatukatai hojaHamna kitu ch ajabu ndio
Mb akikagua ufugaji wa kambale huko kenya.
hoja yako hiyo.....hatukatai hoja
Utamu eeh? Haya we endelea tuu kupata utamu.Mombasa jiji la raha.....uliza kiba na Diamond wakusimulie utamu wa Mombasa......wanaitanga second home
Tembea hutatoka huko.......kwanza ufike mtwapa sin city utapashwa na kina halima usahau lako jinaUtamu eeh? Haya we endelea tuu kupata utamu.
Yah!! Wayatoa wapi maneno wemtu!!Huwa Sipendi Kubisha na mpumbavu
alie zaliwa kwa bahati mbaya na kuishi kwa makusudi
Nakuru Uchafu mtupu
Wadanganye wapuuzi si mie
Kenya Nimeishi na naijua sana
asante kwa ndoto😀😀😀😀😀😀😀😀oysterbay na masaki kama tu buruburu ya eastlands....![]()
pa kawaida sana by Kenyan standards
huhuhu😛😛😛😛 safarii hii mumeshikwa kwenye makende 2017 hiiJkia passenger traffic 7 million ....kama hutaki kumeza jingonge
Ahahahahahaaaa ! , ugly & reddish soil makes those lavish palaces over there looks like all times spiteful Nairobis slummy cabins![]()
![]()
ila mkuu udongo wa kenya ni mbaya aise.yaani nyumba ya gharama inaonekana kama zizi la chanjo ya ng'ombe.
You kenyan huu udongo ni wa kilimo ya migomba,haufai kuweka vitu safi vitachafuka.
Msee uliishiwagwa ebu tuma picha za kiberahuhuhu😛😛😛😛 safarii hii mumeshikwa kwenye makende 2017 hii
niliishiwa au mpaka dakika hii hujielewi uko level ipi endeleeni kupika data😀😀😀😀😀 ila mbongo huwez mdanganya hata siku mojaMsee uliishiwagwa ebu tuma picha za kibera
Kuzushana na kilema ni ngumu juu ana feel ako inferior... That applies to you...inaitagwa inferiority complexniliishiwa au mpaka dakika hii hujielewi uko level ipi endeleeni kupika data😀😀😀😀😀 ila mbongo huwez mdanganya hata siku moja