Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ipi iyo mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii hapa , siioni tena zaidi ya kwa waliyo iquote , Muhusika mwenyewe aliniquote mara kadhaa na akihusisha na Wikipidea 😂😂😂😂😂, Kwani Wikepedia ipo hivi? 😂


IMG_0878.jpeg
 
We bana, acha kujibenua hapa, wewe ungekuwa kama hawa wakenya ungeringa kiasi gani!?
Nikupe mfano, hii nyumba ya mkenya hapo Tigoni, hata si Nairobi, kijijini. Bongo hii itakuwa ni hoteli ya kifahari. Hapa nyumba ya mtu
View attachment 2769870
Acha uongo, hii nyumba kaitumia your former Chief Spy James Kanyotu, Aliiba kwa a former British National na imetumika pia kama HQ ndogo ya Ujasusi hapo Kenya.
 
Nilifikiri utasema upo nyumbani kumbe unajivunia kwa watu, we kweli matako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Si wewe Ulisema a while back that naishi Kibera and you swear unauhakika….so you can’t have your cake and eat it too… ama hio Kizungu ni ngumu?…. 😄😄
 
Back
Top Bottom