Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2764491
"Kuja" tena kutetea Ukronazi nikuchape.
Endeleeni kukutana na neo-Nazis. Leader of wagner👇
images-1.jpeg
 
Tanzania ilipigana mpaka Ethiopia

➡️Ili kuwaenzi wapiganaji hao wa Kihehe kwa ushindi wao, jina la Kijiji hicho lilifanywa kuwa jina rasmi la kambi ya jeshi Lugalo iliyopo Dar es Salaam.

➡️Lakini, Kabla ya hapo kambi ya Lugalo iliitwa Colito. Sababu ya kuitwa Colito ni kuenzi ushindi wa Askari wa Tanganyika walioichapa Italia katika uwanja wa vita lwa Colito nchini Ethiopia, ili kuisaidia Ethiopia mwaka 1941. Baada ya ushindi huo jina likawa Colito Barracks.

➡️Baada ya Tanganyika kupata uhuru, jina Colito lilibadilishwa na kuwa LUGALO BARRACKS hadi sasa. Ni heshima kwa Kijiji cha Lugalo, Iringa, kuenzi ushindi wa Askari wa Mkwawa waliopigana na Askari wa Kijerumani walioongozwa na Emil von Zelewi.


View: https://twitter.com/HistoriaYetu/status/1707116187455533455?t=hMYYXPCH4VDxUimt2BTykw&s=19
 
View attachment 2764641
Hapo wapi sasa!? Jiji inaonesha mwenye kupost hii naye hajatumia ya Kenya!?
Watu wanajenga hapa Kenya.
Mfano hii hapa unajengwa Tsimba Taita
View attachment 2764642View attachment 2764643
Ndio maana munakua mafala kulazimisha vitu vya watu kua vyenu na ndio maana hua munaenda step moja mbele munarudi mia nyuma chizi wewe 😅😅😅😅 hio nyumba ndio hiii baada ya finishing kumalizika

Unalazmisha mali za wanaume kua zako??
Screenshots_2023-09-28-08-19-30.png




Hii dunia munaeza kumdanganya nani ??? Dunia hii ilipofika bado munadanganya watu kwelii??😅
Screenshots_2023-09-28-08-29-37.png

Screenshots_2023-09-27-22-06-40.png
 
Eti watu waache kuweka fainali Dar kwenye mvuto wa soka wapeleke Nairobi, kwanza mpaka kufika 2027 our mighty SGR itakuwa inafanya kazi na BRT phase karibu zote zitakuwa tayari, viwanja vyote vitakuwa tayari, haya apo kuna nn tena, miundombinu yote muhimu na ambayo haikuwepo kwenye nchi nyingi tu zilizowahi kuandaa AFCON itakuwa ishakamilika.

Jamaa huenda wakalilia fainali ipelekwe kwao kisa wana expressway 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hii fainali ndiyo itatupa jibu nani ni The best hapa EA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpira ni pesa.

Licha ya hizo endorsement mbali mbali, pia gate collection ni muhimu sana.

Tanzania Watu wana vibe na mpira kuliko Nchi zote ukanda huu. Pia Watu wana hela za kulipia kiingilio uwanjani.

CAF hawawezi kupeleka fainali kwenye Nchi ambayo Watu hawana hata uhakika wa mlo mmoja Kwa siku! Game zote kali za maana zitapigwa Tanzania.

Tuwaache wa post express way na mahoteli, sie tuta post viwanja vyetu vyenye hadhi Kwa mazoezi na mechi pia.. Hotel watazikuta.. Affordable na low cost of living.
 
Mbali na ufukara uliotukuka wa kunya utakaopelekea kunya kukosa fedha kujenga viwanja with atleast minimum standards,
2027 mtakuwa general elections, with too much chaos, police brutality, demonstrations nk , na nadiriki kusema hakuna hata mechi moja itachezwa kwenye ardhi ya Kunyaland. Mark my words.
Jamaa mmejaa wivu za kike. Si mngebid solo kama mnajiona wababe
 
Mbali na ufukara uliotukuka wa kunya utakaopelekea kunya kukosa fedha kujenga viwanja with atleast minimum standards,
2027 mtakuwa general elections, with too much chaos, police brutality, demonstrations nk , na nadiriki kusema hakuna hata mechi moja itachezwa kwenye ardhi ya Kunyaland. Mark my words.
Elections zinafanyika august wakati afcon inachezwa January mpaka Feb, poleni sana midanganyika lakini finali mtaionea kwenye azam TV🤣🤣
 
Back
Top Bottom