Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

But what you have now is this
7918e4f8bade8597984b6fa5d9e2d8d8.jpg
ndugu kwenye swala linaitwa maendeleo kwa sasa hvi tanzania sio size yenu nchi inajengwa usiku na mchana jamaa anajenga 11 airports kwa sasa tena kwa mpigo 😀😀😀😀
 
na clearly imekwambia 32.8%. Are you not intelligent Ichiboy or you just playing dumb?
mm narudia kukwambia 2011 figure and 2016 figure haziwez kua sawa hata siku moja 😀😀😀😀 ni swali dogo unafaa kujiuliza tanzania ijenge electric train na kenya imeshindwa alafu uniambie umeme hakuna...be serious
 
Watu wengi wanaishi vijijini lakini REA, mpango wa kusambaza umeme (stima) vijijini teyari upo katika awamu wa tatu (ya mwisho), ambapo usambazaji umefikia zaidi ya vijiji 4,395 kati ya 12,268 vilivyopo Tanzania, ikiwa ni asilimia 36%. Hii ni kutokana na taarifa za feb 2017.
hakuelewa somo huyo ndio maana nilimwambia 2020 tanzania itakua imesambaza umeme vijijini kwa asilimia 90% akaona natania😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
NALIAMSHA DUDE:
types of photos they will never show us:
unfortunately this is how some white guys on instagram show to the world the image of kibera.
a40f601045a3c5149c43a81ae8a721af.jpg
72d67775530df11b808f181c6b660395.jpg
d7a87b8bc7d18dad6520538232cdabea.jpg
96af8a3d213c325dbf37a8659f6eb2e4.jpg
21f8ec9d24f0aaeb6767f0be30574369.jpg
cc2762d315d4974032d6c1a9ccc54d21.jpg
ae6f188d4de1d2eb733fb3e9943b15d8.jpg
e16f2772fa466d9cb90dac6ecd400665.jpg
83b3fdeec5a949bd013c0cfb2deffb9f.jpg
Subhanallah
Ktk maisha yangu yote nimetembea nchi tofauti ktk Africa sijaona mazingira mabaya na yaliyotopea ktk umasikini kama kibera ,
Ni aibu na siamini mazingira kama haya yapo ndani ya Nchi inayodai ndiyo inayoongoza kiuchumi ktk east Africa,
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Maana hata ukienda Burundi au somalia hakuna ufukara uliopitiliza kiasi hicho,
Inanisikitisha na kuniumiza sana.
 
Subhanallah
Ktk maisha yangu yote nimetembea nchi tofauti ktk Africa sijaona mazingira mabaya na yaliyotopea ktk umasikini kama kibera ,
Ni aibu na siamini mazingira kama haya yapo ndani ya Nchi inayodai ndiyo inayoongoza kiuchumi ktk east Africa,
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
Maana hata ukienda Burundi au somalia hakuna ufukara uliopitiliza kiasi hicho,
Inanisikitisha na kuniumiza sana.
ukiskia uchumi unapikwa kwenye karatasi basi wakenya ni hodari wa kupika data wakidhania wandanganya dunia kumbe wanajidanganya wenyewe😀😀😀😀😀😀
 
Again Ignorant idiot revealed here,
Ukiwa hapo JKIA kuna direct flights to Zanzibar as well as Kilimanjaro,
Again from Kilimanjaro kuna direct flights abroad,
Pia from Zanzibar there are international flights to Dubai, Doha, SA, etc

What about those useless airstrips u claim international?? Any international flights there???
Fyi, Even your domestic flights are far behind Tanzania's.
airport-20-jpg.527706

aircraft-9-jpg.527707
 
Back
Top Bottom