Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa picha za wakati wa ujenzi
Screenshot_20230907_183500.jpg
Screenshot_20230907_183318.jpg
Screenshot_20230907_182752.jpg
Screenshot_20230907_183523.jpg
 
mradi huu ni mkubwa sana sana kias kwamba umefika over 70%,
haya leo tuangalia ile tatu city yenye over 15yrs haijafikisha hata 1% ya render, tuachane tatu kuna nyingine inaitwa konza ndio vichekesho kabisa vya abunwasi

Alaf zwazwa anashuta na kutokwa ute ovyo huko nyumanju 😅😅😅😅😅😅

Mradi uliofika over 70% utafananisha na mradi uko over 15 yrs na hata 1% haujafika??
Hio dege yenye miaka 20 inajengwa haifiki kwa nyayo estates embakasi iliojengewa enzi za moi. Unabisha?
 
Siku hizi kuna Kampuni kibao za kuzoa taka hadi uswahilini mwenye nyumba lazima akunyuke 5000 monthly na gari linapita ukusanye upupu wako 😂 kwa ving’ora . Hakuna utopolo kama wa hawa jamaa wa kaskazini wanatupa kila eneo.

View attachment 2745089
Jamaa wanapenda sifa ila on the ground unakutana na story tofaut🤣🤣🤣juzi nikiwa nchi fulani nilimsikia mkunya mmoja kwa restaurant akisifia kunyaland eti usafiri wao kwa sasa ni fully electric na brt ipo asilimia 70 soon inakaribia kukamilika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa wanapenda sifa ila on the ground unakutana na story tofaut🤣🤣🤣juzi nikiwa nchi fulani nilimsikia mkunya mmoja kwa restaurant akisifia kunyaland eti usafiri wao kwa sasa ni fully electric na brt ipo asilimia 70 soon inakaribia kukamilika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hio full electric bus zenyewe ziko 10 alaf sasa hebu nambie mini bus 10 zinasaidia nn kwenye transportation kama sio vituko tu😅😁
 
Unabisha nyayo estate imezidi dege Eco?
Ndio nabisha haifikia 20 yrs nabisha ndio haya leta unachojua ww nikuumbue sasa hvi😅😅😅😅 manake mradi ulismamishwa na magufuli alivoingia madarakani ni just 7yrs mradi umesmama haya ww tumabie tatu yenye over 15 yrs na bado haijafika hata 1% of its render
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanasema yenyewe kama ofisi ya chief
IMG_5006.jpeg
 
Back
Top Bottom