Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mim kuanzia leo nikijua mtu fulan ni mkenya, lazima nimchape bakora.. akisema kwann nimemchapa.. namwambia acheni uongo nyie wajinga.. afu pia mnaandamaje kisa unga?, hivyo nimekuchapa kwa niaba ya wajinga wenzako.. 'akileta za kuleta' namwitia mwiz apigwe auwawe😆.. The best 007 anasemaga... wanatakiwa wapungue mana wako weng sana kweny kanch kadogo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni ndoto ya kila mkenya kupata uraia wa Tanzania.
Screenshot_20230901-070936~2.png
 
Ni ndoto ya kila mkenya kupata uraia wa Tanzania.
View attachment 2735218
Yaani Omollo anatamani sana angekuwa mbongo, anajua music industry ya Bongo kuliko Mbongo yoyote anajua ya Kenya, anajua angekuwa Bongo angekuwa Bonge la Star kuliko alivyo sasa, anajua ili aendelee kujulikana na kuwa relevant ni mpaka atukanwe na wabongo, ni vile tu hatupendi dharau ila tungemchunia nadhani angepata depression mbaya sana na uenda angecommit suicide😅😅😅
 
Yaani Omollo anatamani sana angekuwa mbongo, anajua music industry ya Bongo kuliko Mbongo yoyote anajua ya Kenya, anajua angekuwa Bongo angekuwa Bonge la Star kuliko alivyo sasa, anajua ili aendelee kujulikana na kuwa relevant ni mpaka atukanwe na wabongo, ni vile tu hatupendi dharau ila tungemchunia nadhani angepata depression mbaya sana na uenda angecommit suicide
 
Yaani Omollo anatamani sana angekuwa mbongo, anajua music industry ya Bongo kuliko Mbongo yoyote anajua ya Kenya, anajua angekuwa Bongo angekuwa Bonge la Star kuliko alivyo sasa, anajua ili aendelee kujulikana na kuwa relevant ni mpaka atukanwe na wabongo, ni vile tu hatupendi dharau ila tungemchunia nadhani angepata depression mbaya sana na uenda angecommit suicide😅😅😅
Sema imemsaidia kujitangaza Hadi Mimi nimejua KunaHutaki kupokea simu sawa huyo msanii.
 
Back
Top Bottom