Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ona matatizo ya deregulation ya serikali ya Samia na utakashaji wa fedha kwenye Bureau de change, sasa hivi dollar moja ni sawa na Tsh 2450. Magu kwa miaka 5 alibaki kati ya Tsh 2200 na 2300.
si sababu ya msingi kuzuia Bureau de Change kama unafanya utalii! Nakataa! Hebu tuambie zile fedha za Plea Bargaining zilifikaje Uchina?
 
Thinking capacity yako ni ndogo, you are equating individuals prowess to the success of an entire industry. In sub sahara Africa ni south Africa pekeake imetuzidi, tanzania ni mtoto sana

SOUTH AFRICA

KENYA​

NIGERIA​

TANZANIA​

GHANA​


Source;
mbona unaruka miaka na categories unachanganya wewe Kundustan vp? Au unafikiri hatuwezi kupitia hizo links?
 
nakuonesha kazi zake ni nini 🤣🤣🤣🤣 shida yako unataka kulazmisha chumvi kua sukari kama unataka kuona za passengers just wait bro
vipo vichwa kumi na saba na hicho ni kimoja kati yavyo anashupaza shingo ya nini arelax
 

He is making more money than any stupid Kenyan in entertainment industry.

On TV houses, Azam is making money than any TV house in Kenya, in football, only one football club in Tanzania makes money than all clubs in Kenya.,[emoji23][emoji23][emoji23]





Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Azam hii au nyingine.
 
Back
Top Bottom