Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Tumebakiwa na Yoweri Museveni.

Museveni anasema alianza kuwa fan wa Nyerere mwaka 1963 baada ya kuona Nyerere anapush sana kuungana kwa East African federation. Museveni aliendelea kusema kwa kutoa nakala ya gazeti lililochapishwa mwaka 1963, lililo na habari kwamba Nyerere na viongozi wengine wanakutana kwa ajili ya mazungumzo kuhusu East African federation.

Kilichomsikitisha ni kwamba watu kwa selfishness wameamua kutupia kisogo Muunganiko huo na akaendelea kumpongeza Nyerere kwamba alipoona wenzake hawana dalili akaamua kuungana na Zanzibar.

Na kwamba kama wangeamua kuungana wakati ule ambapo hata Somalia pia alitaka kuwa member wa hiyo federation, basi matatizo yaliyotokea Rwanda, Burundi, Somalia na Congo yasingekuwepo.

Kwa sasa naona anaendelea kupush kuwepo na political federation tusiishie kwenye economy tu.
 
Lakini si hii Mombasa yetu imepiga dar kende roho safi.....i mean look at how developed Mombasa is
 

Attachments

  • Mbsa.jpg
    Mbsa.jpg
    456.6 KB · Views: 11
Back
Top Bottom