Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dadeki, sijui ka watarud tena kwenye hii thread, shame on them with their cooked GDP
 
Dadeki, sijui ka watarud tena kwenye hii thread, shame on them with their cooked GDP
waendelee kupika lakini uhalisia unajionesha kwenye unemployment rate na povertyπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
tulia....pinnacle iko mbioni...2019 mtafte pa kuenda...tutapiga makelele yale hamjawahi kuona..I will personally take pics of the structure...we will fill JF servers with that monstrous building
hehehe napenda kuona rendersπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
i have been going to nairobi time to time....apart from the thika highway, flyovers and footbridges,i see nothing new in nairobi.
Tayari hivyo ulivyotaja ni vipya kwa bongo nn kingine wataka braza
 
Hilo labda bundle la safaricom, bundle la usiku la video πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Kenya's 2017 projected GDP is 55bn
Hahahaha, hawa wakora ni hatari.
Wanadai wako na 70bn ukiwaambia walete source wanaingia mitini wote. Hiyo 70 wamepika ili kujipatia mikopo toka mabenki ya Kimataifa.
A study conducted earlier this year justified 8/10 Kenyans are potential thieves.
 
Ok genius.
furahi sasa
 
From the Citizen newspaper Tanzania earlier today?? So a Tanzanian paper clearly slashes Kenya's GDP by 20 billion and you are here celebrating. They probably did that to make you feel good about yourselves. Shitty journalism at best and you quote it here to make yourelf feel good about your poor LDC country. Paper quotes 2015 GDP at 69billion, same paper quotes projected 2017 as 55billion?? And you take such an error as the gospel truth lol hahahah
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ So unataka niamini ipi hebu nieleze niamini yakupika au real one?????? Maana real one ni hiyo projected to 55b sasa unataka niamini ipi??
Maana musiwe watu wakushabikia alaf huku munakufa masikini wakutupa
 
Gazeti gani hiii na hizi errors za class one
 
gazeti lipi hili ni kana kwamba wameandika kazi wanahabari wa darasa la pili,...😱😱😱😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…