ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Hilo ndio tatizo lao, kupost vitu havina faida yoyote kwa jamiiEmbu mposti vitu vya maana vyenye kuinua watu wengi toka kwenye umasikini uliokithiri achaneni na vipicha uchwara vya mji.
Gari tano kwa mji mzima?
Wakenya Wakenya nawakumbusha hii ni Dodoma, sisi tunaiita Idodomya, msije kusema hatukuwaambiaWaambieni hii ni dodoma






Tofauti ya Tanzania na Kunyaland inaonekana hapa, gari la vinywaji limeanguka lakini watu wanaonesha kutojali kabisa, Kunyaland usingeona hata trace ya chupa za soda hapa








Duuhhh aisee kweli Tz hakuna njaa, watu hawana habari kabisa, hiki ni kiwango cha juu kabisa cha uvumilivuTofauti ya Tanzania na Kunyaland inaonekana hapa, gari la vinywaji limeanguka lakini watu wanaonesha kutojali kabisa, Kunyaland usingeona hata trace ya chupa za soda hapa



Hii ni ya kitambo sana kabla hata ya express way ya mchina.Hongereni majirani, nice move.
Yaani Kunyaland hapo wangelokotwa majeruhi waliokanyagana wakigombania soda idadi kubwa kuliko cartons za soda zilizopasuka 😂😂😂😂
Waambieni hii ni dodoma
Hii ndio democracy waliokua wakipiga kelele humu ndani hii ndio laana ya tribalism inayotafuna nyama zao👇👇👇
Zimbabwe wamehamia bandari ya dar na kuacha bandari kutumia ya durban kwa sasa zimbabwe inapitisha mpaka gari 20000 bandari ya dar 🇹🇿🇹🇿👏👏
Government offices will be nothing compared to private business Tatu or Konza cities…. especially ground infrastructure ya Konza ni first world class … nothing like that Ukanda huu wa East and Central Africa…Wakenya Wakenya nawakumbusha hii ni Dodoma, sisi tunaiita Idodomya, msije kusema hatukuwaambia![]()