Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti financial district hahah, kwamba Nairobi Kuna Financial district
What a fairytale,
I love fairy tales
Shida yenu Wabongo ni inferiority complex. Every city has a financial district. That's a reality, not a fairy tale.
 
Again shamelessly mentioning some poor Kenyan banks trading in a worthless KSh
Yaleyale ya Kampuni 500 za Kenya zipo Tanzania, zote kwa ujumla wake zimewekeza $500m an average of $1m investment kwa kampuni.
We really need to investigate this, are these really companies ama ni some traditional retail cereal stores ?
A single bank from that list makes more profit than all Tanzania banks combined.
 
Kitu walichobaki wakenya ni kushikilia twakimu zinaonyesha uchumi wao ni mkubwa, wakat wana maisha magumu kwa ground. Saiz ukiwaambia GDP yao ni fake, watabisha na kukuletea hizo takwimu zinazowadanganya. Nasubir hio siku takwimu mpya zitakapoanza kutoka mfululizo na kuonyesha Tanzania ina uchumi mkubwa na tuna hali nzuri kimaisha kuliko wao. Walikuwa wanasifia currency yao, sasa imeanza kuwaletea aibu na kuonyesha picha halisi inavyozidi kushuka thamani yake.. hapa nasubiri tu twakimu za uchumi or GDP, mana hapo ndo sehem bado wameshikilia kwa kuwahaada watu mitandaon kuwa wako vizur wakat hawana chakula, wana madeni lukuki, serikali yao inashindwa kulipa mishahara etc. Ipo siku watakubali uchumi wao wa ni fake na ni mdogo kuliko wa Tanzania
 
A single bank from that list makes more profit than all Tanzania banks combined.

I agree with you, hiyo haipndoi ukweli kuwa kuwa they are poor and worthless banks, with some negligible value & assets, Just trading with gov money obtained from external creditors. Na sasa mnakaribia kuumaliza mwendo ?
IMG_3128.jpg
 
I agree with you, hiyo haipndoi ukweli kuwa kuwa they are poor and worthless banks, with some negligible value & assets, Just trading with gov money obtained from external creditors. Na sasa mnakaribia kuumaliza mwendo ?
View attachment 2582863
You can't call someone who's richer than your whole home district poor. Poor is relative.
 
Kitu walichobaki wakenya ni kushikilia twakimu zinaonyesha uchumi wao ni mkubwa, wakat wana maisha magumu kwa ground. Saiz ukiwaambia GDP yao ni fake, watabisha na kukuletea hizo takwimu zinazowadanganya. Nasubir hio siku takwimu mpya zitakapoanza kutoka mfululizo na kuonyesha Tanzania ina uchumi mkubwa na tuna hali nzuri kimaisha kuliko wao. Walikuwa wanasifia currency yao, sasa imeanza kuwaletea aibu na kuonyesha picha halisi inavyozidi kushuka thamani yake.. hapa nasubiri tu twakimu za uchumi or GDP, mana hapo ndo sehem bado wameshikilia kwa kuwahaada watu mitandaon kuwa wako vizur wakat hawana chakula, wana madeni lukuki, serikali yao inashindwa kulipa mishahara etc. Ipo siku watakubali uchumi wao wa ni fake na ni mdogo kuliko wa Tanzania
Shilling ikishuka na GDP nayo inashuka in dollar terms. Maana unatunia KES nyingi to chase a few dollars so wajiandae tu kisaikolojia.
 
the current situation of affairs in kunyaland is messy 😅😅😅😅

niliwaambia wana deni la billion 77 $ wakati kwa ground hakuna walichofanya sababu pesa walikua wanakopa kulipa mishahara na kununua chakula wakawa wanabisha

Sasa awamu hii hawajakopa pesa za kulipa mishahara na huu ndio uhalisia wa maisha yao

 
Back
Top Bottom