Ndo hapo. Nyingine hii. Watu wanakula kwa urefu wa kamba zaoRais yuko kimya hana chakufanya watoto wa mjomba na shangazi atafanya nn 😆😆
Tatizo lenu ujinga umewajaa sana, ninahisi ni athari ya kuendekeza ukabila kwa muda mrefu. Iweje Kila kitu ninyi tu ndio wenye kuelewa lakini wengine wote hawaelewi?Hilo neno inferiority complex hulielewi, unalitumia tu kisa umetuona tukilitumia, same way hukuelewa chenye wamarekani walikuwa wakisema.![]()
![]()
kichupa cha Perfume! Mkalenjin Mpumbavu Kimbg anasema ati Eldoret inatoshana na Arusha!
Hivi sisi watanzania tunashabikia nini Kule Kenya?Ligi kuu bara ni kama premier league ya uingereza jinsi inavyofuatiliwa hapa East and Central Africa .View attachment 2580905
Ligi ya Bongo ina mashabiki wengi sn Kenya na Congo kama unavyoona Bongo fleva au bongo movies. Mkenya mwingine huyu hapaLigi kuu bara ni kama premier league ya uingereza jinsi inavyofuatiliwa hapa East and Central Africa .View attachment 2580905


Nyang'au ukimwambia ana inferiority complex anajisikia vibayaa😂😂😂Wewe inferiority complex itakuzeesha,...
Kwanza watanzania wengi hawajui chochote kuhusu Kenya tofauti na Wakenya wengi wanavyoijua Tz. Hii inatokana na ukweli kwamba Tz ndiyo source kubwa ya chakula, pesa, burudani na kazi kwa wakenya na East and Central Africa kwa ujumla.Hivi sisi watanzania tunashabikia nini Kule Kenya?
Wakenya wanaiogopa sana Tz kuliko nchi yoyote duniani na wanaiheshimu sn usione hawa wanuka mavi wa humu wanajitutumua lkn dream country yao ni Tz.Nyang'au ukimwambia ana inferiority complex anajisikia vibayaa![]()
Mambo kama haya huwezi kuyapata popote Africa hii labda kule nchi za kaskazini mwa Africa.
Arusha kama sikosei.Hapa ni wap