Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hvi nikuulize swali ukitoa KCB na equity kuna bank gani ni shindani kenya?? Yani hakuna tofaut na safaricom kenya hana mshindani wengine telkom na airtel ni washindikizaji tu

Sasa nitofaut na tanzania ushindani wa kibenk ni mkubwa sana imagine NBC anadhamini ligi kuu yatanzania kwa sasa miaka 2 au 3 lakini ni bank ya 4 au 5 kwa ukubwa tanzania [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]



Alaf kitu nashangaa sioni hata serekali yenu ikiwa na shares kwenye bank kubwa kama hzo huku kwetu mpaka absa bank serekali ni shareholder mkubwa
View attachment 2568541
Ache kupenda kuropokwa, kenyan banking sector ina ushindani sana huwezi linganisha na Tanzania. Hata the 3rd na 4th largest banks in kenya zinamake faida kubwa kuliko your biggest bank CRDB.

Kcb na equity ziko na a combined market share of less than 30% as you can see
Screenshot_20230328-123930.jpg


Alafu we jamaa ungekuwa unafanya research kabla ya kumwaga ujinga wako hapa. Tanzania banks last year zilimake a combined profit of tsh 1.16t which ni around Usd 500m

compared na kenyan banks ambazo in 11 months to November last year zilimake around usd 2b
 
Ache kupenda kuropokwa, kenyan banking sector ina ushindani sana huwezi linganisha na Tanzania. Hata the 3rd na 4th largest banks in kenya zinamake faida kubwa kuliko your biggest bank CRDB.

Kcb na equity ziko na a combined market share of less than 30% as you can see
View attachment 2568602

Alafu we jamaa ungekuwa unafanya research kabla ya kumwaga ujinga wako hapa. Tanzania banks last year zilimake a combined profit of tsh 1.16t which ni around Usd 500m

compared na kenyan banks ambazo in 11 months to November last year zilimake around usd 2b
Hakuna ushindani wowote mlionao mm naongea sio kwa kuropkwa naelewa nachoongea hakuna bank kubwa na shindani zaidi ya KCB na equity hakuna wengine ni washindikizaji tu 😆😆😆

Nikikwambia ushindani maana yake hakuna hata bank iwe ndogo vipi tanzania kwamba haipati faida 👇👇👇👇
Screenshots_2023-03-28-13-14-28.png




Lakini zipo bank zile zinazoshindikiza kenya zina hasara tupu 😆😆😆😆 ndio maana ya ushindani


 
Wewe unasema zilijengwa na EAC mwenzako anasema zilijengwa na wakoloni sasa tumwamini nani? Mtasumbuka sana mitanganyika
Leta list ya viwanda vyote mlivyojenga nyie baada ya jumuiya kuvunjika maana viwanda vyote ya EA majina yanaishia na EA industries
 
Back
Top Bottom