Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

vipi m.senge wa Tandale?😀😀 napenda wimbo huu sana jinsi jamaa anavoruka takataka😀😀😀 kumbe kibera pia ina ndugu wa karibu😀😀

I did some research...I looked up your skirt and I am afraid theres a lot you've been hiding down there...



mkora anamshutumu mkora mwenzake

sisi hatufichi kitu tofauti na nyie.....ila cha kufurahisha hayo mazingira uyaonayo hapo ...gari pikipiki kuna vinjia ambavyo vinaweza kupita....

balaa linakuja kwenu
 
haya ndiyo matokeo hasi yakuwa na vijana wakikenya wenye sura zilizozeeka kama wewe angali bado ni kijana...


msee umezeeka..inabidi ukacheze bao na wazee wenzako
Poa salmiana Manzese basi kwa machokoraa wenzako...naskia wana glue leo
 
Back
Top Bottom